Nyumba inauzwa--tabata segerea, dar es salaam

Nyumba inauzwa--tabata segerea, dar es salaam

Joined
Jan 6, 2012
Posts
31
Reaction score
5
Habari wakuu,

Mimi nauza nyuma iliyopo tabata segerea, karibu na kota za nssf.
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba vitatu ikiwemo materbedroom kubwa sana, sitting room kubwa, dining room, kitchen, store, jiko na uwanja mkubwa wa parking.

Nyumba hii ni mpya haija hamiwa.



BEI: 150,000,000 Tsh.

Contacts: amchomvu@hotmail.com Phone N0. 0755 549 304 au 0715 549 304

Naambatanisha picha.



Regards,



Mr. MCHOMVU
 

Attachments

  • SAM_0321.JPG
    SAM_0321.JPG
    1.1 MB · Views: 300
  • SAM_0323.JPG
    SAM_0323.JPG
    1.3 MB · Views: 204
  • SAM_0325.JPG
    SAM_0325.JPG
    757.7 KB · Views: 206
  • SAM_0326.JPG
    SAM_0326.JPG
    1.9 MB · Views: 189
Ina maana plot siku hizi Tabata - Segerea ni kwenye milioni 110 hivi?

Maana hiyo nyumba sidhani gharama yake inafika milioni 50 (Sio kwa ubaya kiongozi ni kwa sababu haijaisha kujengwa!)
 
Ina maana plot siku hizi Tabata - Segerea ni kwenye milioni 110 hivi?

Maana hiyo nyumba sidhani gharama yake inafika milioni 50 (Sio kwa ubaya kiongozi ni kwa sababu haijaisha kujengwa!)
Precisely mkuu,bei haijakaa sawa!
 
Hii nyumba au pagala limeezekwa?
MAANA FINISHING NDIO ISSUE!

Bei ni kubwa mno
 
Acha nipite hicho kiasi ni wanasiasa tu ndo wanaweza
 
Hii nyumba au pagala limeezekwa?
MAANA FINISHING NDIO ISSUE!

Bei ni kubwa mno
Lakini finishing haiwezi kufanyika bila kuwepo kwa pagala!!pagala ni hatua kubwa katika ujenzi wa nyumba cha msingi hapa ni kuwa bei iliyotajwa ni kubwa mno!
 
Hivi Tabata kuna Misitu?

Kama unataka kuuza bei hiyo fanya finishing kwanza pamoja na fensi,maji,Parking na umuwekee na gari mnunuzi then that's will be the right price
 
Mkuu bei hiyo yakuruka mno kwa 75m. unapata mteja fasta bei kama hizo ni za Manzese, magomeni humo
 
Iyo sehemu uliyotaja kwa Tabata inajaza maji wakati wa mvua..ni bonde flani ivi,ila kwa kiangazi fleshi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom