Recent content by Mgembe05

  1. Mgembe05

    Nawashangaa wanaonihusisha mimi binafsi na Sheria ya Makosa ya Mtandao - January Makamba

    Na-declare interest, sina upande wa kisiasa ambao labda naupigia chapuo...hakuna mwanasiasa ambaye mimi kama mimi binafsi namuamini 100%...hayupo...! ispokua mimi nimezungumza kwa ujumla tu. Lakini huyu Makamba anapozungumzwa kwa mazuri yake machache tunaisema nafasi yake kuwa azungumzi kama...
  2. Mgembe05

    Nawashangaa wanaonihusisha mimi binafsi na Sheria ya Makosa ya Mtandao - January Makamba

    Wakati Mwl. Nyerere anaelekea kustaafu alienda Chuo kikuu DSM na akapanga kuzungumza na wakuu na waadhiri wa chuo... moja ya maneno aliyowaambia "Kiongozi wa nchi anatokana na siasa, mkikaa tu kukosoa viongozi tulionao haitasaidia ili mpate kiongozi mwenye weledi na mwenye sifa kama mnavyotaka...
  3. Mgembe05

    Nawashangaa wanaonihusisha mimi binafsi na Sheria ya Makosa ya Mtandao - January Makamba

    kwani kafanya nini hasa hasa yeye kama yeye..? na hili la urais husiweke guarantee....urais wa nchi hii hauamuliwi na wananchi 100% anaweza akawa...! ukitaka kujua hilo angalia urais wa magufuli leo...wangapi walimpa nafasi ya kushinda before...? lkn end of the day ndio President.... mchakato wa...
  4. Mgembe05

    Hakuna mpenda amani yeyoye atafurahia Vitendo vinavyofanywa na Korea Kaskazini

    Kwani amerusha kuipiga nchi gani.? kama karusha kupima uwezo wake kitechnologia kuna shida gani..? nani akirusha itakua sahihi na nani akirusha ni kosa..? istoshe hajawai kurusha hata kombora moja kwenye nchi nyingine likauwa watu...binafsi naona wale wanaofatafata ndio wanadhamira mbaya na...
  5. Mgembe05

    Kisutu: Mahakama yawahukumu miaka mitatu au faini wafanyakazi wa Quality Group

    Sio kila mmoja...jumla wote walipe 22ml...yaani ni kama 1.35ml hivi kila mmoja..
  6. Mgembe05

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Tunaweza kumlaumu Nyerere....na ni kweli alishindwa kuwa na misingi thabiti kwa taifa...! lakini alishindwa kutokana na waliomuweka madarakani tena upo wakati bila yeye kujua kama anakwamishwa kwa yale aliyokua na dhamira nayo njema kwa taifa...lakini hakushindwa kwasababu ya utashi binafsi wa...
  7. Mgembe05

    Mauaji ya Dr Mvungi: Mtuhumiwa akiri kushiriki kwa malipo ya Tsh.30,000

    Huu ukata wa maisha ni hatari kubwa sana kwa usalama wa watu na mali zao
  8. Mgembe05

    Wawekezaji wanaulaza: KAJIMA kufunga biashara Tanzania!

    'TANZAZO LA KUFUNGA SHUGHULI ZA KIBIASHARA TANZANIA" shughuru za kibihashara hazina ukomo...! ingekua wapo kwa project fulani ingekua sahihi kusema wamemaliza project yao lkn wapo kibihashara na bihashara haina ukomo...
  9. Mgembe05

    Mbwana Samatta nae kumbe ana kiingereza kama cha Mrisho Ngassa

    tevez...pia anderson walicheza manchester pale hawakujua kingereza kabisa... kwani kutokujua kingereza tatizo lipo wapi?
  10. Mgembe05

    Namshangaa Zitto Kabwe kwa hoja dhaifu

    Ishu hapo sio kuna maghala mangapi nchini...? maghala yanaweza kuwa hata mia2..ishu ni yameifadhi chakula kwa kiasi gani...? Mimi nilidhani ungetaja ghala then ungeainisha lina tani ngapi ili tujue tuna kiasi gani..?
  11. Mgembe05

    IMF warns Tanzania of downside economic growth risks!

    Binafsi nashindwa kabisa kuwaelewa wanhabari wetu... taharifa hii kwenye Habari leo imeelezwa eti "uchumi wa tanzania upo vizuri" kwenye magazeti mengine imetajwa hivyo kuwa "IMF yaonya mwenendo wa uchumi" sasa sijui tunafeli wapi? tafsiri ya hii lugha inatusumbua au nini hasa tatizo kwa...
  12. Mgembe05

    Wangapi wanamkumbuka Umsolopagaas?

    lakini kiliwai kupigwa marufuku hicho kitabu...... ilionekana kama kinafundisha ujasili flani ambao watawala waliona kama ungeleta madhara kwa vijana...wengi waliosoma hicho kitabu kwa hisia wanatembea na vishoka kiunoni mpataka leo hii...
  13. Mgembe05

    Ushauri: Mke anataka mtoto, mimi sina uwezo huo

    Kuna posibility kubwa ya ndoa kuvunjika baada ya kumueleza..! itategemea sana na hekma busara pia malezi anayotokea mkeo...lkn all in all kumwambia ni sahihi na akitaka kuvunjika kwa ndoa mruhusu aende kwsbb uking'ang'ania atakufanya uishi kwa shida kubwa kiasi kwamba utakosa na mengine katika...
Back
Top Bottom