Recent content by Mezzatz

  1. M

    Bhagdad ft Roma ft Snura "k ni k"

    Safi sana wameonesha kama wanaweza kubadilika
  2. M

    Ni nani aliyeacha alama ya mguu kwenye jiwe hili la Morogoro?

    Inawezekana huyo mtu alikua na hatua kubwa sana ambazo ya kwanza alitua olduvai ya pili morogoro na ya tatu ni mwanza
  3. M

    Popular Quotes

    Mungu hakupi unachotaka Bali anakupa unachostahili By unknown
  4. M

    Huu ni uchizi au vipi?

    Ndocha boy
  5. M

    Atheists tulionekana wa ajabu sana!

    Mi naamini mungu yupo Na kingine ninachokiamini ni kwamba mungu kamuumba shetani akashindwa kumdhibiti nahisi shetani naye ananguvu zinazokaribiana Na za mungu Na ndio maana mungu kamshindwa (kashindikana) kumdhibiti Asante
  6. M

    Mtu mweusi: Kiumbe mwenye historia tata

    Na nywele za kipilipili pia ni jua Mkuu?
  7. M

    Ukicheki hizi movie, hutajutia

    Angalia the Raid2 Hutajutia
  8. M

    Tukumbushane dawa za zamani, naanza na chloroquine

    ,Salimia hii ni ya kuchua
  9. M

    Kwanini Ndege(Roketi/Contrail) huacha mstari wa Moshi Mweupe?

    Labda nikusaidie huyo jamaa ameandika neg 50 Na sio 50
  10. M

    Hivi ukifanya colabo na msanii unamlipa?

    Wengine wanalipa Wengine wanafanya bure kulingana Na makubaliano
  11. M

    Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

    Hizo muvie ni nzuri coz ndani yake kuna comedy za kutosha ziko poa mfano hiyo 4
  12. M

    Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

    Kuna nyengine inaitwa Evil Dead Hiyo ni noma lazima uote kama sio mzoefu Wa hizo muvie ni Bonge la horror
  13. M

    Jambazi gani alikuwa anakuvutia kwenye filamu za utotoni?

    Hii muvi ni noma yeni mkono mwanzo mwisho hakuna kupumzika
Back
Top Bottom