u ingia hapa Drivers & Downloads | Dell US then chagua window unayotumia , drivers zako zote zipo hapo... ni official drivers toka dell wenyewe......... HAPA
Nimekuwa nikiona kia sehem watu wanaleta online jobs hasa hii inaitwa taskjobs /bigcash na majina mengine, napenda kuwahakikishia kwamba ukitumiwa hiyo link wala usipoteze mda wako , just ignore it, utapoteza mda wako na pa kusumbua wenzako... Hili nimelifanyia uchunguzi wa kutosha ni uongo...
Unaposema kuna watu safi una maanisha nini ? safi kwa perspective ipi au kwa kulinganisha na nini ? ukishakubali kuwa kuna usafi na ubaya basi jua kabisa kuna sheria una obey au imani inayotenganisha hivo vitu viwili ... kwa hiyo sentensi yako tu ina justify kwamba kuna muumba ambaye...
Imani moyoni kwako tu mambo ya mavazi muachie mvaaji mwenyewe .. unaweza kwenda church na suti ukitoka unapitia kadem kisa watu hawakuoni unahisi sio dhambi .. huyo alievaa nguo fupi akatoka akarudi nyumbani na bdao akaonekana mbaya .. wamasai wanaacha viungo vyao nje kama matiti na bado hawana...
Naona mmemsahau nguli wa rhumba marehem kabasile yampanya (Pepe kalle ) na watu wake Kama bileko mpasi ,huyu Jamaa alitisha na rap zake za kubana sauti ... sikiliza ngoma inaitwa pinos kabuya utanielewa ... album bora kwangu ni cocktail ya Pepe kalle ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.