Mavazi ya kanisani balaaa...

Status
Not open for further replies.
mavazi tu sidhani kama kuna madhara bwana

Mmeamua kuipinga Biblia Takatifu kwa kuanza kuangalia kama kuna madhara ama la! mmeanzisha mafundisho yenu wenyewe na kuyafata huku mkijipa moyo kwamba ''hatudhani kama kuna madhara'' Aangalie ajidhaniaye amesimama ...
 
Mmeamua kuipinga Biblia Takatifu kwa kuanza kuangalia kama kuna madhara ama la! mmeanzisha mafundisho yenu wenyewe na kuyafata huku mkijipa moyo kwamba ''hatudhani kama kuna madhara'' Aangalie ajidhaniaye amesimama ...
nakubaliana na wewe kuwa kuna wakati tunakosea lakini biblia pia haikuweka kujisitiri mpaka wapi any way sitaki kutenda dhambi mie
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk
Una habari umeme umepanda bei!
 
Imani moyoni kwako tu mambo ya mavazi muachie mvaaji mwenyewe .. unaweza kwenda church na suti ukitoka unapitia kadem kisa watu hawakuoni unahisi sio dhambi .. huyo alievaa nguo fupi akatoka akarudi nyumbani na bdao akaonekana mbaya .. wamasai wanaacha viungo vyao nje kama matiti na bado hawana zinaa kama watoto wa mjini .. cha muhimu tumia vizuri uhuru uliopewa na mungu maana dini zimekuwa perfume siku hizi ..
 
hakuna shida kabisa mbona kabla dini haijaja tulikua tunatembea uc.hi na ilikua poa tu au mbona wamasai mpaka leo wanatembea uchi na haina tatizo
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk

Bwana yahani siku hizi hawa akina dada zetu balaa, kila kitu wanataka, mguu ndani mguu nje, ya dunia wanayataka na mungu wanamtaka. Lakini ndo hivyo hapo atakuambia mungu anaangalia roho ya mtu si mavazi. sasa kilichokutuma nini si roho?
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk
Mavazi ni uhuru wa mtu ili mradi havunji sheria za nchi,kanisa ikiwa na yenyewe ni taasisi inayofuata sheria za nchi,haipo kinyume na mavazi yanayokubalika kisheria.Hayo uliyoelezea hii ni kutokana na uonavyo wewe na sio sheria za nchi.
 
Natanguliza smahani kwa wale wote ambao wataudhika....Nauliza hivi wasichana na wanawake kuvaa nguo fupi wanapoenda makanisani wakati waume hutinga suti ni mafundisho au kanisa laruhusu viguo hivo juu ya magoti...kwapa nje ...kubana makalio ..nk

Weka picha tuone
 
nashangaaga sana pale ambapo kunatumika comparison ya mwanamke na mwanaume kwa habari ya mavazi, wakati tuko tofauti sana kimaumbile, kimtazamo, kimuonekano na standards za kupendeza. heri mtu aseme mwanamke anatakiwa aelewe occassion na mavazi ya mahali ila si kusema mwanaume anavaa suti na mwanamke.......
 
Nayalaumu makanisa husika kwasababu kama wanaangalia na wananyamaza bas wanachangia kuua kanisa kwa mikono yao

Ila hawa madada wa kizazi hiki wanadai kwani kuna tatizo gani? wao wanataka kuona kwanza tatizo,wamekuwa kizazi kilichosemwa cha kutafuta ishara ndo waelewe na kuamini vinginevyo watakuona hauendi na wakati... hivi Torati si ileile ama nayo inaenda na wakati,eti? sasa mbona nyie mnaenda na wakati wakati Torati haijabadilika ndo ileile ?

mbona AGANO JIPYA (biblia) imeenda na wakati from AGANO LA KALE (INJILI)....
 
Neno La Mungu Lina Sema Enyiwanawake Vaen Mavazi Yanayo Sitir Tena Mili Yenu Nihekalu La Roho Cdhan Kama Mtuanaejua Nakuenenda Sawasawa Na Neno Hil Atavaa Kijinguo Chaajab Madhabahun Pia Nawatupia Lawama Viongoz Wao Wadin Kutowafunza Waumin Wao Bgup Islamc Rgn!
 
nashangaaga sana pale ambapo kunatumika comparison ya mwanamke na mwanaume kwa habari ya mavazi, wakati tuko tofauti sana kimaumbile, kimtazamo, kimuonekano na standards za kupendeza. heri mtu aseme mwanamke anatakiwa aelewe occassion na mavazi ya mahali ila si kusema mwanaume anavaa suti na mwanamke.......

Tumefananisha coz wote wanaenda sehemu moja ya ibada...mbona waume wao hawavai pensi zao na vesti au kata k zinazoonesha rangi ya boksa. Najua munautofauti wa kimaumbile na kimtazamo lakini hujaruhusiwa kuvaa nusu uchi ili upendeze...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom