Huyo anayesema umevurugwa haelewi kwamba hata hizo zinazofungiwa kanisani cheti kinachukuliwa bomani ndo inapelekwa kanisani na taratibu zote zinafuatwa kama vile kutangaza kwa siku 21, na pia ndoa ya bomani haina mambo mengi inaokoa gharama na haina mlolongo mreefu
Siyo kila Masai katoboa masikio hilo mlielewe waliowahi kwenda shule hawakuwa na muda wa kutoboa masikio, jina lowassa kwa mwanaume kwa mwanamke Nawassa kimasai hicho ashe naleng'
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenzi anayohamisha kwa mama yake si kma ninyi mnavotafsiri, kaka mm nakushauri umrudie mkeo kwani atakuwa amejifunza kosa lake afu angalia mapungufu uliyonayo kwake ujirekebishe
Rais Magufuli anapiga kazi sana kwani hii nchi ilikuwa imefika pabaya so ni kama anaifufua, tumtie moyo kwa miaka hii 5 ya kwanza atafanya mengi mno tusiwe wa kulalamika kwa kila jambo watz wenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.