Zinaitwa UMOJANa hizo buguruni malapa kifuani veep
Hawa ni Wahdizabe na Nikabila linalopatikana mkoa wa Manyara wilaya ya Mbulu nadhani umepata jibu la swali lako.![]()
Kama mada inavyosema, naomba nijue hili ni kabila gani na linapatika mkoa upi kwa hapa Tanzania.
Kumbe, mwenye picha zaidi atupie
Ahsante mkuuHawa ni Wahdizabe na Nikabila linalopatikana mkoa wa Manyara wilaya ya Mbulu nadhani umepata jibu la swali lako