rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,204
- 20,187
Kwanza lowasa sio mmasai lowasa ni mmeru umasai kajipachika tu kwa kutumia fani aliyosomea chuo kikuu
Kwanza lowasa sio mmasai lowasa ni mmeru umasai kajipachika tu kwa kutumia fani aliyosomea chuo kikuu
Yani nimecheka sana. Alipanda nini mkuu.Raila Odinga amevuna alichopanda .
Hiyo ndio kawaida ya chadema hawapendi kukosolewa,mkapa huwa ana msamiati wake kwa hawa watuMmbona wachangiaji mnamtolea Mapovu mleta mada kwa jambo ambalo ni ukweli mtupu.
Hata hivyo uliwafuata wanini ikiwa hawakuhusu?Kawaida yao nilisoma nao wapo hivyo jioni wanaungana wanakaa vikao vya kiyero yero ukija kabila nyingine wanakuita hii Mswahili nafata nn sasa
Poleni ghafla mmegeuka?Mmbona wachangiaji mnamtolea Mapovu mleta mada kwa jambo ambalo ni ukweli mtupu.