Katika amri 10 za Mungu sidhani kama hizi 3 aliziweka yeye bali ni viherehere vyetu tu sisi Wakristo

UOTE="ngoma ya ukae, post: 21445117, member: 414792"]Tatizo letu binadamu sikuzote tunajitahidi kuhalalisha haramu kuwa halali. ..hata kama hizo amri 3 ziliwekwa na binadamu unatakiwa uzifuate.[/QUOTE]
amri ni amri tu.kama kunywa viriba sasa hivi ukikutwa nacho utajuta kuzaliwa dume

We jama hizo piaa ni amri zake



hahaa ila waandishi nao huo wanakosea jamani labda waliongeza kachumbali.maana zamani inasemekana kulikua na uhaba wa wanawake sasa wakajitungia sheria wanao miliki wanawake.ila hisia zangu.baada ya kupiga kilaji hapa mpakani na kenya. kinaitwa..RICHOT
 
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu hizi amri kumi ( 10 ) za Mungu juu yetu sisi Wakristo na kugundua ya kwamba zile saba ( 7 ) kweli Mwenyezi Mungu aliziweka ila hizi tatu ( 3 ) lazima tu zitakuwa zimewekwa na Sisi Wakristo kwa kiherehere chetu na roho mbaya zetu tu zilizotukuka.

Nakataa kata kata kwamba Mwenyezi Mungu aliweka hizi amri tatu zifuatazo :

  1. Usiseme Uwongo
  2. Usizini
  3. Usitamani Mwanamke / Mwanaume asiye Mke / Mume wako
Hivi jamani tuacheni Unafiki na Uwoga kuna Binadamu au Mkristo aliyetukuka kweli anaweza kuishi bila......
  1. Kusema Uwongo?
  2. Bila Kuzini kwa kisingizio tu cha kutegemea Mbunye / Mkuyenge huo huo 24/7?
  3. Kutamani Demu / Mke wa Mshikaji au Buzi / Mume wa Mtu?
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.
Ndugu tubu dhambi hii ya uwongo kabla jua halijazama siku ya leo, vinginevyo UTAPATA PIGO BAYA SANA KUTOKA KWA MUNGU aliye mbinguni.
 
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu hizi amri kumi ( 10 ) za Mungu juu yetu sisi Wakristo na kugundua ya kwamba zile saba ( 7 ) kweli Mwenyezi Mungu aliziweka ila hizi tatu ( 3 ) lazima tu zitakuwa zimewekwa na Sisi Wakristo kwa kiherehere chetu na roho mbaya zetu tu zilizotukuka.

Nakataa kata kata kwamba Mwenyezi Mungu aliweka hizi amri tatu zifuatazo :

  1. Usiseme Uwongo
  2. Usizini
  3. Usitamani Mwanamke / Mwanaume asiye Mke / Mume wako
Hivi jamani tuacheni Unafiki na Uwoga kuna Binadamu au Mkristo aliyetukuka kweli anaweza kuishi bila......
  1. Kusema Uwongo?
  2. Bila Kuzini kwa kisingizio tu cha kutegemea Mbunye / Mkuyenge huo huo 24/7?
  3. Kutamani Demu / Mke wa Mshikaji au Buzi / Mume wa Mtu?
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.

Mkuu kuna ukweli Wa namna mbili katika Amri za Mungu na mambo mengime ya maisha kwa ujumla.Kwanza Amri hizo sio closed.Zina exceptions.Na ndiko huko kulikozaliwa ule msemo wanaotumia ndugu zangu wajiitao Learned brothers and sisters kuwa "there is no law without exceptions". Ukizisoma Amri za Mungu kwa ukamilifu wake utagundua kuwa kila Amri ina-apply katika mazingira fulani tu na mazingira fulani sio binding.

Kutosema uongo kwa mfano ni katika mazingira gani? Hivi mwanao akililia kwa mfano Pipi na wewe usimunulie pipi hiyo kwa wakati anaoihitaji (ama kwa pipi kutokupatikana eneo ulilopo au huna pesa na ukimwambia hivyo yeye hataelewa "somo" na hivi ukaamua kumdanganya kuwa asubirie kidogo kuna mtu umempigia simu anamletea hiyo pipi) ;je,hiyo inakuwa dhambi? La hasha!

Mfano Wa pili ni Wa kutokumiliki sanamu au picha au mfano Wa
kitu chochote kilichoko mbinguni au duniani.Lakini ukiangalia kwa umakini inawezekanaje Mungu atukataze kutumia sanamu au picha wakati sisi wenyewe tulishaumbwa naye tukiwa sanamu? Sisi wenyewe ni picha ya sura yake.Nguo zetu ni picha.Maandishi yetu hapa JF,Kalamu,Madaftari,Vitabu,Meza,Magari,ndege,Vikombe,sahani,Nyumba, na au wake zetu au waume zetu vyote hivi na vingine ni sanamu/picha.Kumbe bila sanamu/picha maisha yanakoma.Maisha hayawezekani.Kumbe kuna exception katika kutomiliki sanamu.Exception yenyewe ndo hii:kwamba usiigeuze sanamu kuwa uweza Wa Kimungu.Kwamba sanamu isichukue ukuu Wa Mungu.

Dhana ya pili ni kwamba wale watu waliotafisiri Biblia toka original versions za Kiebrania (Agano la Kale) na Kigiriki (Agano jipya) kuna baadhi ya mambo waliyapa tafsiri iyostahili.Baadhi ya mambo hayo ni "uchawi na wachawi", Jehovah, na Uzinzi.Haya maneno wataalamu waliofanya tafsiri mwanzoni kutuletea katika Kiswahili au Kiingereza walikosa maneno sahihi kuelezea kile walichomaanisha waandishi Wa mwanzo Wa Biblia katika Lugha mama za Maandiko hayo Matakatifu.

Kumbe ukweli ni kwamba Amri zaweza kuwa kumi kama tunavyofundishwa ila kuna Exceptions na vile vile kuna mambo hayako kama yalivyomaanishwa toka mwanzo na waandishi waliotuandikia.
 
Kwa kifupi ni kwamba ziko amri ambazo ni za Mungu dhidi yetu,na yetu dhidi ya Mungu na kuna amri za sisi binadam kwa binadam.Kumbuka hizo amri zilitoka kipindi cha safar ya wana wa israeli na mojawapo ya mambo yaliyokua yanawasumbua sana kwenye ile safar nipamoja na mapenzi,kulikua na vurugu sana za wanaume kugombea wanawake nakuchukua wanawake ovyo hapo ndipo msingi wa tamaduni ya hizi ndoa zakisasa ulipoanzia.kwaiyo hizo amri 3 lengo hasa ilikua kuwadhibiti wanaume ila amri hizo zinafanya kazi hadi sasa na vizazi vyote vinavyokuja maana hulka ya mwanaume kutaman mwanamke ni ile ile.
 
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu hizi amri kumi ( 10 ) za Mungu juu yetu sisi Wakristo na kugundua ya kwamba zile saba ( 7 ) kweli Mwenyezi Mungu aliziweka ila hizi tatu ( 3 ) lazima tu zitakuwa zimewekwa na Sisi Wakristo kwa kiherehere chetu na roho mbaya zetu tu zilizotukuka.

Nakataa kata kata kwamba Mwenyezi Mungu aliweka hizi amri tatu zifuatazo :

  1. Usiseme Uwongo
  2. Usizini
  3. Usitamani Mwanamke / Mwanaume asiye Mke / Mume wako
Hivi jamani tuacheni Unafiki na Uwoga kuna Binadamu au Mkristo aliyetukuka kweli anaweza kuishi bila......
  1. Kusema Uwongo?
  2. Bila Kuzini kwa kisingizio tu cha kutegemea Mbunye / Mkuyenge huo huo 24/7?
  3. Kutamani Demu / Mke wa Mshikaji au Buzi / Mume wa Mtu?
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.

Kwanini moja kati ya hizi saba ya Usiibe unaikubali maana kama ukitamani mke wa rafki au jirani yako lazima tu utafanya manuva na kumla( Kumuiba maana sio wako)

Mkuu unakoelekea sasa utakuwa chizi aliyetukuka kabisa. Mambo ya imani sio ya kuyafanyia mizaha.
 
Kuna andiko linasema 'wengi watakuja kwa jina langu......naona na wewe ni mmoja wao,nabii wa uongo, unamkubali Mungu kulingana na matakwa yako
Usipotoshe umma kwa kuhalalisha dhambi iliyokushinda,Sheria ya Mungu itabaki palepale...
 
Nimekaa na kutafakari sana kuhusu hizi amri kumi ( 10 ) za Mungu juu yetu sisi Wakristo na kugundua ya kwamba zile saba ( 7 ) kweli Mwenyezi Mungu aliziweka ila hizi tatu ( 3 ) lazima tu zitakuwa zimewekwa na Sisi Wakristo kwa kiherehere chetu na roho mbaya zetu tu zilizotukuka.

Nakataa kata kata kwamba Mwenyezi Mungu aliweka hizi amri tatu zifuatazo :

  1. Usiseme Uwongo
  2. Usizini
  3. Usitamani Mwanamke / Mwanaume asiye Mke / Mume wako
Hivi jamani tuacheni Unafiki na Uwoga kuna Binadamu au Mkristo aliyetukuka kweli anaweza kuishi bila......
  1. Kusema Uwongo?
  2. Bila Kuzini kwa kisingizio tu cha kutegemea Mbunye / Mkuyenge huo huo 24/7?
  3. Kutamani Demu / Mke wa Mshikaji au Buzi / Mume wa Mtu?
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.
Kama huwezu ukristo kuwa mpagani sio dhambi kwa ww kuchagua kuwa mpagani. Ila kweli umeijua ila ukafuata njia ya uongo ole wako wewe.
 
Mimi kuanzia leo hii naamini kuwa amri za Mwenyezi Mungu ni saba ( 7 ) tu na hizi tatu ( 3 ) tumezitunga tu Sisi Binadamu / Wakristo hivyo nawashaurini pia Wakristo wenzangu wote popote pale mlipo kuwa acheni kudanganyika na Watu wabaya waliomsingizia Mungu kuwa amezuia kusema Uwongo, Kuzini na Kutotamani Mpenzi wa Mwenzako.

Ipo haja kwa Wakristo wenzangu kujifunza Kutafakari haya Maandiko vizuri na siyo kukubali tu kudanganywa na Watu wa hovyo hovyo ambao hawaruhusu Watu wenye akili kubwa kuhoji mambo ya msingi kama haya.

Haya mnaojua dini na maandiko yake Kindakindaki karibuni mtiririke na mserereke Kiroho zaidi.
[/QUOTE]

Pole sana ndugu, maumivu ya kichwa huanza polepole! Anza kutafuta tiba kwa sala, maombi Na majuto ya dhambi zako. Kwani unakoelekea huchelei kukana uwepo wa pepo Na moto. Lkn ufahamu jambo moja tu, Ni vyema ukakiri mafundisho Na mapokeo hayo kuliko kuishia kwenye moto usiozima wala kuisha MILELE. Kwani kilio Na Kusaga meno itakuwa ndio Furaha yako MILELE. Nakutakia tafakari Njema.
 
Back
Top Bottom