Barabara haijatulia haswa kuanzia daraja la rufiji mpaka unaingia Somanga. Halafu Nangurukuru mpaka Mbwemkuru.. kama ni mtu wa mwendo kuwa makini na mashimo pamoja na diversion, bila hvyo utapasua tairi na hata rims
Nimeshawahi kutoka tabora saa moja asubuhi, saa kumi nikawa kibaha, na hapo nilikaa kama saa nzima Dodoma kwa ajili ya kula.. lakini mpaka kupita ubungo ilikua saa tatu usiku yani ile foleni siwez kuja kuisahau.. ilikua december 2019 na mnyama crown athlete
Brother hiyo mimba ni yako. Na coca haina mechanism yeyote ya kuzuia mimba. Kama aliingia tarehe 6 na mkakutana tarehe 24 kuna posibility kubwa ya yeye kupata mimba if and only if ana mzunguko wa siku 30 na kuendelea… 75% hiyo ni mimba yako
Hiyo machine ni very reliable... Kuna heavy dutes zinafika mpaka 10M lakini ukiwa nayo ni mkataba aisee. bonge la machine
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Jamaa mwenye hizi thread anaijua crown au anaisikia. Akaangalia crown athlete ya 2010 ni bei gani na bmw series 5 ya the same year ni bei gani. Crown inauzwa bei ghali kuliko bmw. Na ina sensors za kutosha
Miaka ya nyuma kulikua na gangs kati ya station moja na nyingine, kazi yao kubwa ilikua kukagua njia kati ya reli na reli na kisha kutoa taarifa kwa station masters. Sasa hivi hakuna hivyo vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.