Recent content by mendex

  1. mendex

    Tujifunze pamoja na tuelimishane kuhusu program ya Excel

    Vlook up is very very very easy
  2. mendex

    Uzinzi si jambo jema, nimekosa cha kumshauri huyu ndugu

    Huyo mzinzi ni wewe. Kubali mtoto huyo
  3. mendex

    Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

    Ukiangalia Mito. Maziwa na Milima. Unaweza kuta Tanzania ndio ilikua bustani ya Eden
  4. mendex

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Avg consumption. Yeah ni kweli kuna sehem nikanyaga sana kufidia traffic
  5. mendex

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Mnyama crown athlete. Speed 120 but check rpm… mwendo ni kutumia cruise ctrl tu
  6. mendex

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Barabara haijatulia haswa kuanzia daraja la rufiji mpaka unaingia Somanga. Halafu Nangurukuru mpaka Mbwemkuru.. kama ni mtu wa mwendo kuwa makini na mashimo pamoja na diversion, bila hvyo utapasua tairi na hata rims
  7. mendex

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Nimeshawahi kutoka tabora saa moja asubuhi, saa kumi nikawa kibaha, na hapo nilikaa kama saa nzima Dodoma kwa ajili ya kula.. lakini mpaka kupita ubungo ilikua saa tatu usiku yani ile foleni siwez kuja kuisahau.. ilikua december 2019 na mnyama crown athlete
  8. mendex

    Nimesingiziwa mimba isiyo yangu, wanawake tuishi nao kwa akili kweli

    Brother hiyo mimba ni yako. Na coca haina mechanism yeyote ya kuzuia mimba. Kama aliingia tarehe 6 na mkakutana tarehe 24 kuna posibility kubwa ya yeye kupata mimba if and only if ana mzunguko wa siku 30 na kuendelea… 75% hiyo ni mimba yako
  9. mendex

    Tundu Lissu mubashara VOA

    Lissu kadanganya. Eti mlinzi wa magufuli amekufa.. wakati yupo hai kabisa na msibanii alionekana
  10. mendex

    Story: Shemeji Monika

    Hii story unairudia. Ile ya mwanzo haikuisha
  11. mendex

    Audi A4 vs Toyota Crown nipe maoni yako

    Nunua audi kama unaishi Dar. Mikoani tafuta crown Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  12. mendex

    Kwa wanaoijua Kyocera Photocopy mashine

    Hiyo machine ni very reliable... Kuna heavy dutes zinafika mpaka 10M lakini ukiwa nayo ni mkataba aisee. bonge la machine Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  13. mendex

    Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

    Jamaa mwenye hizi thread anaijua crown au anaisikia. Akaangalia crown athlete ya 2010 ni bei gani na bmw series 5 ya the same year ni bei gani. Crown inauzwa bei ghali kuliko bmw. Na ina sensors za kutosha
  14. mendex

    TRC na Ajali ya Dodoma: Kuna tatizo la kiutendaji

    Miaka ya nyuma kulikua na gangs kati ya station moja na nyingine, kazi yao kubwa ilikua kukagua njia kati ya reli na reli na kisha kutoa taarifa kwa station masters. Sasa hivi hakuna hivyo vitu...
Back
Top Bottom