Habari wana jamii forum.
Kwa nini pindi inapotokea hitilafu katika treni ya SGR huwa ni vigumu kwa TRC kutoa taarifa kama wafanyavyo mashirika ya ndege.
Unakuta treni ilitakiwa kufika kituo fulani muda fulani lakini inachelewa zaidi ya nusu saa au saa nzima lakini taarifa haitolewi vituoni...
Tuna shida kubwa sana kama taifa.
Mtu yeyote anayebeza ujenzi wa reli inabidi arudi tena shule au atembee zaidi duniani.
Usafiri wa bei rahisi duniani ni reli na maji. Na ndio usafiri pekee ambao unabeba mizigo mizito kwa mkupuo vile vile maintanance cost yake ni ndogo compare to Barabara na...
Barabara haijatulia haswa kuanzia daraja la rufiji mpaka unaingia Somanga. Halafu Nangurukuru mpaka Mbwemkuru.. kama ni mtu wa mwendo kuwa makini na mashimo pamoja na diversion, bila hvyo utapasua tairi na hata rims
Nimeshawahi kutoka tabora saa moja asubuhi, saa kumi nikawa kibaha, na hapo nilikaa kama saa nzima Dodoma kwa ajili ya kula.. lakini mpaka kupita ubungo ilikua saa tatu usiku yani ile foleni siwez kuja kuisahau.. ilikua december 2019 na mnyama crown athlete
Brother hiyo mimba ni yako. Na coca haina mechanism yeyote ya kuzuia mimba. Kama aliingia tarehe 6 na mkakutana tarehe 24 kuna posibility kubwa ya yeye kupata mimba if and only if ana mzunguko wa siku 30 na kuendelea… 75% hiyo ni mimba yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.