Siku za karibuni kumeibuka ntondo kwa askari Wa barabarani kutumia photo editor.. wanakubambika kesi huku unawatazama hata haya hawana ..mfano mwezi Dec nilikuwa nasafiri kutokea Dar kwenda Moshi nilipopita mto wami kwa mbele nolikuta askari polisi kikosi cha usalama barabarani wakanisimamisha...
Lakini mbona takukuru nachenyewe ni chombo moja wapo kati ya vile ambavyo walitangaza kutokuwa navyo imani sasa inakuwaje tena wamepeleka ushahidi si wangewapekekea hao Scott land?
dah nijambo la kumuomba sana Mungu atusaidie kwani haya ni majanga tu ambayo hata tukitupia lawama upande mmoja matatizo yote bado tunakuwa hatujaliangalia kwa mapana yake! Unajua hata nchi zilizo endelea nako huwa majanga kama haya yanatokea na hata kama sijasahau kuna nchi moja majuzi tu hapa...
Haku edit sawa, kwani hujaelewa alikuwa na maana gani? Jifunze kuwa muungwana na si kukimbilia kukosoa vitu vidogo vidogo na kama hukuelewa alichokiandika ungehamia kwingine mimi binafsi sipendi tabia hizi za watu kutembea na madaifu ya wengine, kaka haijanifurahisha.
angalizo; sijasema kwamba kuandamana ni kubaya hapana lakini kwani hatuwezi kuangalia historia inasemaje katika hili? na kwamba hatuna namna zingine kukaa na kuzungumzia matatizo yetu ni mpaka tuandamane?
kwamba katika historia ya nchi hii wapi tulipata matokeo mazuri kwa kuandamana? au ni...
nyie msimpoteshe mwambieni ukweli hiyo nikazi yake! kama bado anampenda mpenzi wake aifanye basi sasa mmeanza siasa hapa yanini sasa? wewe mnyoe mwenza wako leo jioni kabla ya kufanya chochote finish[/B], na kama unapenda akutafutie mtu wa kazi hiyo amini haya maneno yataisha yabaki mazoea
huwa inatokea hasa pale mwanamke akianza kukutana na wanaume wengi katika eneo lake la kazi! hata mimi iliwahi kunitokea kama hii nilijitahidi sana kuacha lakini mtu kama umependa huwa ni msalaba mzito, ninaimani asilimia 40 nimeweza lakini tu napenda niseme kama ukiwa unampenda mwenzio kuacha...
uwe mpole! CV ndo hiyo inayotolewa si kama uzijuavyo wewe bali ziko katika mifumo tofauti jifunze kuelewa comment za wengine hata wewe ukiambiwa uandike CV yako ninaimani utajifagilia hasa pale ulipowahi kufanya kazi vizuri, sasa umeweka watu watoe CV ya Mwema kazi yako kusoma na kuchanganua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.