kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Mwema nadhani kaleta mabadiliko makumbwa ktk jeshi la police ukilinganisha na tunakotoka, Evidence ya hivi karibuni ktk uchaguzi, Polisi hawakutumia mabavu kama tulivyo zowea huko nyuma
Hongera S Mwema keep it up !!!!!!
Haya sasa umepata jibu mwema ni nani