figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Mimi nawashangaa sana hawa wakina dada.siku zote wakati wa kuvua nguo hata iwe inambana vipi anaipitisha kichwani,vilevile wakati wa kuvaa wanaipitisha kichwani isipokuwa chu** tu.kwanini mnafanya hivyo?hamuwezi kubadilisha style?.halafu ile kitu mulioianzisha ya kuwekea matiti jeki,yaani unakuta titi saa sita hata kama ni mzee munakua na maana gani?ni hayo tu.
mia.
mia.