Salaam! Huko mahospitalini tunaona kuwa gharama za baadhi ya vipimo ni za chini na nyingine ni za juu na vingine juu sana. Hii inapelekea hata baadhi ya vifurushi vya Bima za Afya kutokujumuisha baadhi ya vipimo kutokana na gharama kuwa juu kuliko vingine.
Swali langu ni napenda kujua ni...
Amani iwe nanyi!
Nahitaji kuweka dish la FTA ila nataka niweze kupata channels nyingi zaidi bila kulipia kila mwezi. Dish la kawaida la FTA hapa Moshi linakuwa na channels kadhaa za hapa nchini pamoja na channels kama Emmanuel TV, TBN na chache nyingine FREE. Ila nataka nipate channels zaidi...
Amani ikae nanyi!
Naombeni jina la huu wimbo:
Kuna wimbo ambao Radio 1 huwa wanautumia kama "background melody" kwenye kipindi chao cha Zilipendwa kile cha Jumapili mchana (nadhani bado kinaanza saa nne asubuhi hadi sita mchana). Huwa wanaweka instrumental yake tuu na wanaweka wakati...
Amani iwe nanyi!
Tafadhali naomba mnijuze wapi naweza kupata hii series ya China inaitwa "A Beautiful Daughter-in-Law Era", hii ni ile series ambayo ilitafsiriwa kwa Kiswahili na kurushwa na TBC kwa jina la "Mao Doudou na Wakwe zake".
Mimi sijawahi kuwa mpenzi wa series yoyote wala tamthilia...
Sina maelezo mengi kwa sasa, ila tafakari kauli yao jana kupitia kwa mwenyekiti wao alipojibu hotuba za Mkuu wa nchi na mgombea aliyetambulishwa. Alisema "Kuna kuonana na wazee hapa na pia kuonana nao pembeni, Tunamwomba mgombea aliyetambulishwa atutafute wazee pembeni ili tumfanyie yale...
Rugambwa,
Nimefurahi sana kuona hii post yako kwasababu na mimi hivi majuzi nilistukia hii kitu na nikawaza kuwa pengine siku moja nitaizungumzia hapa JF, hivyo nimefurahi kuona nawe umeona hili na umechukua hatua ya kulileta hapa kwa kuwa naamini hawa wachora katuni wanaweza kuingia hapa...
Habari zenu wakuu?
Nimeazimia kwamba, nataka kununua Satellite Dish (nadhani natumia jina sahihi) yaani pamoja na receiver ili niweze kupata FTA channels. Hii ni kwa mategemeo kwamba nitaweza kupata;
-Local Channels (Tanzania)
-Kama kuna FTA channels kutoka nchi nyingine za East Africa...
Ni jambo ambalo hatukulifahamu wengi ila nadhani kiteknolojia itakuwa sio jambo la ajabu sana. Kama alivyosema mmoja wetu hapo juu, ni frequencies zimefanana, yaani unakuta frequencies za kupunguza sauti kwenye chombo A zimefanana na frequencies za kazi yoyote za chombo B hivyo remote control...
Steveachi,
Asante sana kwa mchango & uelimishaji wako. Nimesoma na nikaelewa uliyoandika yote. Nakushukuru tena kwa kutenga mda wako kuelimisha. Nadhani nitapata mchango zaidi kwa wadau wengine.
Asante na Kila la heri.
Amani kwenu wote!
Nafikiria kujiunga na SACCOS mojawapo ila kabla sijafanya hivyo, ningependa kupata elimu kidogo kuhusu SACCOS. Pia napenda kufahamu ni vigezo gani vya kuzingatia katika kuchagua SACCOS ya kujiunga ili niweze kupata faida za kujiunga na SACCOS.
Najua mle watu wanaweka pesa zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.