Amani ikae nanyi!
Naombeni jina la huu wimbo:
Kuna wimbo ambao Radio 1 huwa wanautumia kama "background melody" kwenye kipindi chao cha Zilipendwa kile cha Jumapili mchana (nadhani bado kinaanza saa nne asubuhi hadi sita mchana). Huwa wanaweka instrumental yake tuu na wanaweka wakati mtangazaji anaongea (in the background). Naupenda sana nataka niutafute, tafadhali kwa anayeufahamu anijulishe jina la wimbo huo.
Asanteni.
Naombeni jina la huu wimbo:
Kuna wimbo ambao Radio 1 huwa wanautumia kama "background melody" kwenye kipindi chao cha Zilipendwa kile cha Jumapili mchana (nadhani bado kinaanza saa nne asubuhi hadi sita mchana). Huwa wanaweka instrumental yake tuu na wanaweka wakati mtangazaji anaongea (in the background). Naupenda sana nataka niutafute, tafadhali kwa anayeufahamu anijulishe jina la wimbo huo.
Asanteni.