Ninaamini watanzania hawajali nchi yao. Viongozi wanaiba hakuna anaejali, na viongozi wanaiba kwa sababu raia hawajali.
1. Kwa namna gani unaweza fukuza watendaji wa bandari na waziri husika kupangiwa wizara nyingine?
2. Kama bei ya mafuta imeshuka toka 150 to 30 barrel mbn Tanzania iko pale...
Habari wadau,kainam rhotia ni miongoni mwa shule za kata zilizojengwa kwa nguvu za wananchi,shule hii ina wanafunzi kama mia moja HV,imekidhiri kwa uzembe wa waalimu akiwamo mkuu wa shule,pia matumizi mabaya ya rasilimali za umma na pia waalimu katika shule hii hawafundishi kabisa hawaingii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.