Recent content by MDOTE

  1. M

    JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

    Wote mnaolichukia JKT ni watoto wa UKAWA, hamna lolote!
  2. M

    Mnazionaje huduma za Azam tv?

    Mikoani vipi?
  3. M

    muvi hii ya kibongo ina afadhali

    Ni nzuri kwa kweli,hata kwa kuiangalia na Watoto.
  4. M

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Kutoka Tanga - Moshi - Arusha. Anzia TAMTCO, SASA KAZI, YARABI SALAMA, SHENGENA, LANG'ATA, ABAS,AMTCO lilikuwa limeandikwa nyuma KIZOTA Oyee!!, ndio likazoeleka jina hilo likazaa KIZOTA, LIEMBA, TAWAKAL, NGORIKA, BEMBEA, WANTED nyuma lilikuwa limeandikwa DUNIA NZIMA, nakumbuka basi limeuzwa...
  5. M

    Hivi 'chopa' ya CHADEMA inatumika Arusha na Moshi pekee?

    Kama ulikuwa hujui hiyo ndiyo CHAga DEmocratic Moshi Arusha. Huko kwingine wanajipendekeza tu, nani anawataka watu wa vurugu hao, wanaosababisha damu za watu wasio na hatia zinamwagika?, we huoni bendera yao ina alama ya rangi nyekundu? unafikiri inamaanisha nini? TAFAKARI
  6. M

    Wenye vitambi someni hapa..

    Nina wasiwasi na mtoa mada
  7. M

    Yanga vs 3 pillars

    Kwa mtu mwerevu hawezi kuhangaika nao, ulio wajaa ni wivu,chuki na fitna na kupinga maendeleo ya soka, watu tunataka tutoke kwenye Analojia twende Digital Mechi za ligi zioneshwe LIVE wao wanaturudisha nyuma maendeleo ya mpira. Hebu fikiria karne hii unakataa maendeleo kama hayo, kwa kudai mambo...
  8. M

    (TETESI)Watanzania walioko Rwanda matatani?

    Jamani mlioko huko mtujuze kama ni kweli, maana wengine tuko njiani tunakuja kibiashara, ingawa ukweli tutaupata Rusumo
  9. M

    Majeshi yetu Anzieni hapa

    Mi nilikuwa naumia kichwa sana kwa suala hili, nashukuru JK umeliona hili. Anza na Wanyarwanda
  10. M

    Jina halisi la marehemu Eddy Shegy ni nani?

    Jina la Mziray mwambie akutajie Jese John wa TBC, jamaa ananifurahisha sana akilitaja jina Syllasaid sijui nini nini............ Mziray. Hongera Kaka Jese John
  11. M

    Simu na mziki kwenye gari

    Raha jipe mwenyewe!!
  12. M

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Anaelea Nkya? na vituko vya vya Mbwa?
  13. M

    Tigo, Vodacom & Airtel washitakiwe

    Yaani mi hasa tigo ndio siwataki hata kuwasikia, wezi wakubwa hawa jamaa, Niliweka vocha ya buku 5, sijaitumia nashangaa imekatwa na imebaki buku 2, sijawahi kukopa,sijawahi kumpigia simu mtu maana nilisafiri huko nilikoenda mtandao wao hakuna, hivyo haupatikani, na hata Voda pia, huko, nilikuwa...
Back
Top Bottom