Wenye vitambi someni hapa..

Wenye vitambi someni hapa..

jamii01

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,988
Reaction score
1,437
AINA ZA VITAMBI
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.
 
cha kwangu mtepeto... haaaaaahahahaha,.........
 
ha ha ha...na wale wanakula mchesho/nyama choma na bia kwa pesa yao, kitambi chao kina umbo gani mkuu Jamiio1 ? kumbe viporo navyo zinaleta kitambi:doh:
 
Last edited by a moderator:
AINA ZA VITAMBI
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.
Asante kwa lichekesho. Nifafanulie na maana ya "dada Kina"! .
 
Uzi wa namna hii huletwa na watu walioboreka. Inawezekana siku haikuwaendea vizuri. Pole sana. Unahitaji maombi ya kina.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kwi kwi kwi kwi mimi no.4, ila mimi sili vipolo, nilikula utotoni tena kwa kusukumia na furu wa kubabuwa, niliacha mwaka 1985, enzi hizo chai mnakunywa siku ya sikukuu tu, ilikuwa Pasiansi Mwanza, sasa mtaa wa Hesawa kwa mzee Buleki babayake na Manya
 
Asante kwa lichekesho. Nifafanulie na maana ya "dada Kina"! .

we haujaelewa nini hapo. amesema kina patikana kwa wadada. akaweka kituo kikubwa nukta, halafu akaendelea, kina umbo la yai
 
AINA ZA VITAMBI
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.

hiyo namba 2 kama ina ukweli hivi, kuna jamaa pale Msewe anapendaga za ofa anacho kama hicho.
 
AINA ZA VITAMBI
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.

7.Kitambi Mchongoko-Hiki kimekaa mithili ya umbo la namba 4,kinapatikana zaidi kwa watu wanaokunya konyagi mwitu,viroba na pombe za kienyeji na kushushia kwa supu ya vichwa/miguu ya kuku na breki za ng'ombe...
 
Kwa anaemiliki kitambi nambo moja ajue hakitoki kwa mazoezi wala gym labda ashikwe na kipindupindu grade1.
 
Umekosea kitu kimoja tu...ushahidi au vielelezo..weka picha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom