Mkuu ukiona hakuna mrejesho kaa kimya,usikute mtoa mada kashafariki kwa presha passo ni ziraili mwingine hasa kwa sisi tupatao vipesa vya mkopo na kujikwamua kutafuta kipando na kikaanza kero.
Mkuu tokea kuingie haya magari yanayoitwa telza na subaru kelele zake moshi ndio hizo zinazoharibu Maji tfda wafuatilie wajilidhishe hizi gari zifungiwe tu
Moja kati ya kampuni ya kihuni kuwahi tokea na ni wanyonyaji wakubwa pata wafanyakazi wake hawa vijana wa mitaani na mateam leader ukisikie vilio vyao usitegee mfanyakazi alie we ushinde droo
Sina hakika na ulichokiandika juu ya huyo Nikki ila nilichojifunza kwa hapa kwetu watu wanasoma kuongeza idadi madarasa na sifa mtaani kuwa amesoma lkn ukichunguza elimu iliyopo ndani ya kichwa chake haimsaidii yy wala jamii yake,na ndio hao waliojaa mtaani wakipiga kelele za ajira...
Hii habari ipo kichukichuki zaidi Mara askari Polisi kichwa askari Magereza sijui tushike lipi anyway kama ni kichapo wacha wapigwe usitegemee askari kukosa unit iwe nzuri au mbaya tuliopita jkt tunaelewa hata kama Magereza anasukumwa askari wa vyombo vingine watateteana hiyo ni nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.