Yani bangi unaiweka class moja na Cocaine?
HAujui kuwa pombe ina addiction khbwa kuliko bangi?
Bangi haina addiction kabisa.
Infact Sigara ina addiction kuliko bangi.
Overrall bangi ni safe kuliko pombe na Sigara.
https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-kwaresma-inaonekana-haina-uzito-kuliko-ramadhani.2191279/
ipo, ni kwamba tu wewe huwezi kuona, kama ambavyo huioni mboni ya jicho lako
Yan umeanza kwa kusema wakristo ndo wanahangaika kuikosoa ramadhani, halafu sentesi zote zilizofuatia ni wewe kuikosoa kwaresma..Haujaona unafki hapo?
Jibu ni kwamba dini zote zinagangaika kukosoana. Sema wakristo wakikosolewa wewe hauoni kwasababu haikutachi, ila yako ikikosolewa unaona maana...
Hizo ni statistics. Sasa uzi ntakaokuja nao utahusu kwanini statistics zinakuwa hivyo?
Ntajikita kwenye Mafundisho na Historia ya Uislam kuanzia Kipindi cha mtume,Makalifa mpaka empire za kiislam kwenye golden age na aftermath yake.
Hivyo ntahusisha kila kitu kuanzia Mafundisho ya kwenye Quran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.