Recent content by Mcqueenen

  1. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Hivi wamasai wanavyopandisha mori huwa ni mashetani, hisia au akili kutoweka ?

    Weamasai wanaita kupandisha Mori, wekristo wanaita mapepo. Wanasayansi wanaita magonjwa ya akili.
  2. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Nimeamini hakuna anaekujua zaidi ya wewe

    Endelea kujifunza. Ukienda deep utagundua kuwa hata wewe hujijui Na ukienda deep zaidi utagundua kuwa hata wewe haupo, hicho kitu unachomaanisha ukisema "mimi" Hakipo, ni illusion.
  3. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Sick twisted individual
  4. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Eti jana naota Seran ameandika uzi wa kunikataa😁😁

    Jealous? She won't let you hit
  5. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Sasa hauoni apo Messi alikuwa ana advantage. Maana alikuwa ana watu kibao wa kumsaidia. Akikimbia kina iniesta wanamuona wanampenyezea pasi, akipiga pasi zake kina Suarez wanaziconvert kuwa assist. Saivi Yamal yuko na kina feran tores na Rashford ambao wanakosa goli na kipa. Pasi nyingi za...
  6. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Nakubaliana nawewe kuwa Messi ndio Mungu wa soka. ila dogo Lamine wa miaka 18 anamzidi Messi wa miaka 18. Muda utaongea. Ingawa sidhani kama dogo atamfikia messi
  7. Mcqueenen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usimpuuze mkeo

    Mwanaume ndio kichwa na kiongozi wa familia. Usiuze uanamme wako kumfurahisha mwanamke
  8. Mcqueenen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania King David anaishi ndani ya Mtibeli

    Ukimaliza kutoa uboo wake kinywan mwako usisahau kusukutua mkuu
  9. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Unadhani mtuhumiwa huyu atapona?

    Watu wanapiga na kuua mwizi wa Kuku, lakini wanaoiba mabillioni ya Kodi zetu wanashangiliwa na kuimbwa mitaani na ndugu wanaojiita chawa
  10. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Iran kuwaambia raia kukaa kwenye vinu vya nishati na madaraja kuzuia mashambulizi ya Amerika ni kiashiria kikubwa vita imeshaisha

    Hata hapa bongo 90% ya watanzanja hawaipendi serikali, lakini ikitokea serikali inapigwa na bwawa la Nyerere linataka kulipuliwa lazima Kuna raia hao 10% na wengine wengi watajitokeza kutetea nchi yao.
  11. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Brigadier General Haj Yazdan Mir aangamizwa na afanywa Mbuzi wa Kafara huko Tehran!

    Mayahudi wanazingua sana...hawajui mwenye ruksa ya kuuza raia duniani ni Policcm tu?
  12. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Oya Alshabab wametangaza nafasi ya wavaa Mabom kupenyezwa Israel ....vipi nikuunganishe?
  13. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Lakini ukweli huu ni dawa na ni lazima tumeze. Tutake Tusitake

    Tufanye mahesabu kidogo. Let's say ukaweka 1M mara 10. Ukishinda mara saba na ukaloose mara 3 (kama ulivosema) Kwa odds ya 1.4 kila ukishinda unakuwa umepata laki nne. Sasa laki 4 mara mikeka 7 inakuja 2.8M. Wakati ukiloose hiyo mikeka mitatu unakuwa na loss ya 3M. Hauoni ni biashara ya hasara?
  14. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Lakini ukweli huu ni dawa na ni lazima tumeze. Tutake Tusitake

    App gan unatumia?
Back
Top Bottom