Endelea kujifunza.
Ukienda deep utagundua kuwa hata wewe hujijui
Na ukienda deep zaidi utagundua kuwa hata wewe haupo,
hicho kitu unachomaanisha ukisema "mimi" Hakipo, ni illusion.
Sasa hauoni apo Messi alikuwa ana advantage. Maana alikuwa ana watu kibao wa kumsaidia.
Akikimbia kina iniesta wanamuona wanampenyezea pasi, akipiga pasi zake kina Suarez wanaziconvert kuwa assist.
Saivi Yamal yuko na kina feran tores na Rashford ambao wanakosa goli na kipa.
Pasi nyingi za...
Nakubaliana nawewe kuwa Messi ndio Mungu wa soka.
ila dogo Lamine wa miaka 18 anamzidi Messi wa miaka 18.
Muda utaongea.
Ingawa sidhani kama dogo atamfikia messi
Hata hapa bongo 90% ya watanzanja hawaipendi serikali, lakini ikitokea serikali inapigwa na bwawa la Nyerere linataka kulipuliwa lazima Kuna raia hao 10% na wengine wengi watajitokeza kutetea nchi yao.
Tufanye mahesabu kidogo.
Let's say ukaweka 1M mara 10.
Ukishinda mara saba na ukaloose mara 3 (kama ulivosema)
Kwa odds ya 1.4 kila ukishinda unakuwa umepata laki nne.
Sasa laki 4 mara mikeka 7 inakuja 2.8M.
Wakati ukiloose hiyo mikeka mitatu unakuwa na loss ya 3M.
Hauoni ni biashara ya hasara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.