Leseni ni kibali anachopewa raia kuendesha chombo cha moto
Lesseni inatolewa na serikali
Leseni ni mali ya mtu mwenye Jina lake na picha yake kwenye hiyo leseni
Bila lesseni unaweza kutumia barabara kutembea kwa mguu au basikeli lakini sio chombo cha moto.
Chini ya Sheria ya Barabara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.