Recent content by Mcqueenen

  1. Mcqueenen

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Twende na statistics,research au nambas
  2. Mcqueenen

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Wanasema ukikaa sana na vuchaa nawewe unakuwa kichaa, ni kweli?
  3. Mcqueenen

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Yani bangi unaiweka class moja na Cocaine? HAujui kuwa pombe ina addiction khbwa kuliko bangi? Bangi haina addiction kabisa. Infact Sigara ina addiction kuliko bangi. Overrall bangi ni safe kuliko pombe na Sigara.
  4. Mcqueenen

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-kwaresma-inaonekana-haina-uzito-kuliko-ramadhani.2191279/ ipo, ni kwamba tu wewe huwezi kuona, kama ambavyo huioni mboni ya jicho lako
  5. Mcqueenen

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Yan umeanza kwa kusema wakristo ndo wanahangaika kuikosoa ramadhani, halafu sentesi zote zilizofuatia ni wewe kuikosoa kwaresma..Haujaona unafki hapo? Jibu ni kwamba dini zote zinagangaika kukosoana. Sema wakristo wakikosolewa wewe hauoni kwasababu haikutachi, ila yako ikikosolewa unaona maana...
  6. Mcqueenen

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Case closed. Sasa kwanini ibada zao zilinganishwe wakati kila mtu anaabudu Mungu tofauti?
  7. Mcqueenen

    Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

    Uislam ni dini ya haki. ila huku hatuna haki ya kutoa maoni.
  8. Mcqueenen

    Nimerudi Tena kwa kishindo

    We ndo deogratus Nalimi kisandu?
  9. Mcqueenen

    Iran imejaribu kushambulia kisiwa cha Diego-Garcia kwenye Kambi za Marekani na Uingereza

    Iran hana uwezo wa kurusha kombora marekani. Hana ICBM. Labda apewe na uchina
  10. Mcqueenen

    Ni kwanini waislam wakiwa wengi sehemu fulani wanapenda kulazimisha dini nyingine kufuata taratibu zao na wapo tayari kudhuru wasiofuata

    Hizo ni statistics. Sasa uzi ntakaokuja nao utahusu kwanini statistics zinakuwa hivyo? Ntajikita kwenye Mafundisho na Historia ya Uislam kuanzia Kipindi cha mtume,Makalifa mpaka empire za kiislam kwenye golden age na aftermath yake. Hivyo ntahusisha kila kitu kuanzia Mafundisho ya kwenye Quran...
Back
Top Bottom