Mauaji: Nini kinamfanya mtu aamue kuua?

Mauaji: Nini kinamfanya mtu aamue kuua?

Ukifanya uhaini, ukaanza kuchoma mali za watu, kuiba mali za watu, kukata watu vidole

Wewe umevuka mipaka ya kuendelea kubaki hai unastahili kupigwa risasi na maiti yako ikatupwe mbali isionekane maana unakua ni laana hapa duniani.
1. Kuingia mikataba ya siri, wizi wa ngawira/rasilimali za nchi, si ufilisi wa nchi?
2. kuiba kura na kubatilisha maoni ya waliowengi ni kuua sauti ya Mungu, si uhaini?
3. matumizi mabaya ya madaraka, ubambikizaji kesi na ukandamizaji haki si uvunjaji wa katiba?
4. Utekaji, utesaji na uuaji, si uvunjaji katiba?
5. Yote haya si uhaini?
6. Wanaofanya haya waitweje?
7. Wafanywe nini?
 
Back
Top Bottom