Recent content by MCHUMIA NCHI

  1. M

    Rais Kikwete kuhutubia wakazi wa Dar mchana huu Mchikichini, Ilala

    Wahanga wanahitaji wapatiwe misaada ya kibinadam kama vyakula,madawa,makazi ya dharura,vyandarua etc.Hayo maneno anayoenda kuongea huko hayana tija wakati huu ambapo wahanga wana matatizo makubwa na ya msingi.
  2. M

    MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

    Id name yenyewe imekaa ki kampeni kampeni tu.
  3. M

    Natafuta mchumba/mume

    Mimi nipo tayari,ila nina swali 1,UNA BIKIRA ZOTE MBILI?If yes karibu kwangu.If No chapa mwendo!
  4. M

    MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

    Jk anahusika nini hapo sasa?Mi n.g.e.s.e mingine bana!
  5. M

    MAFURIKO: Hali ya usafiri Dar yawa tete, makazi yasombwa!

    Hivi mkuu ni lini utaacha PUMBA?watu wanazungumzia maji yamejaa barabarani ndo maana wanashindwa kwenda makazini,wewe unasema waache kujenga mabondeni,hiyo akili?
  6. M

    Mhariri wa Mwananchi, Theophil Makunga, naye kuburuzwa Mahakamani leo!

    Sio wahariri tu,WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA WETU,enough is enough bwana!
  7. M

    Kesi ya Kibanda mahakamani Kisutu

    Hata mi nashangaa,mara kanunuliwa na Lowassa,ila jibu limeshapatikana kua yupo upande gani wa coin.
  8. M

    Kesi ya Kibanda mahakamani Kisutu

    Hata kama wataibuka washindi vp kuhusu muda wao waliopotezewa?
  9. M

    Hatimaye wazee wadai Mustapha Mkullo si mtanzania

    Umezungumzia ukabila,hoja ni UTAIFA,wewe vp?
  10. M

    Ulimboka apandishwa mahakamani na takukuru kwa kosa la rushwa

    TAKOHURU oops!!TAKUKURU ni mapuuzi sana yakiongozwa na Mkurugenzi wao.Wakitaka tuwaamini waanze na kina EL,EC,RA,JAIRO,SHIMBO,JK etc.
  11. M

    Special for ladies!!

    Lazima uwe muwazi mkuu,mambo ya kuficha ficha siku hizi hayana deal,afterall haisaidii kuficha ficha vitu
Back
Top Bottom