JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Wabunge akiwemo ndesa pesa na Madiwani wa Chadema wakiwa katika harakati za kuweka Mji wa Moshi safi...inapendeza kama zoezi hili lingekuwa endelevu na kwa mikoa yote.onyesheni mfano wa kushirikiana na wananchi ambao ndio mabosi wenu....na mikoa mingine igeni mifano hii Nawasilisha