Mkuu nakuheshimu..! Pia nadhani utakuwa na level fulani ya taaluma (hata kama si ya uandishi wa habari). Sasa naomba nikuulize kwa kile nilicho-highlight red hapo juu:Huu ni wakati wa kila Mtanzania kusimama imara kupinga huu unyanyasaji. Maana hata katiba mpya itaandikwa kwa maoni kama ya Mwigamba, sasa kama tayari tunaanza kutishwa namna hii kweli kuna katiba mpya hapo..?
- Umesema bila shaka uhuru huo umezidi mipaka bila ku-cite ni wapi au kipengere kipi katika makala Mwigamba alivuka mipaka na mpaka ni upi. Ufafanuzi tafadhali..?
- Ni wakati muafaka wa kurudisha mambo yawe kama yanavyopaswa kuwa au kama yalivyokuwa..? Maana kama ndivyo yanavyopaswa kuwa basi nchi hii iko hatarini kubaki vipande vipande. Uhuru wa kutoa/kupokea maoni unaingiliwa, we Mtanzania mwenzetu unachekelea?
Take: Tuionee huruma nchi yetu Tanzania..!
Dark City hii ni moja ya sheria 40 za ukandamizaji ambazo zilipaswa kufutwa tangu zamani. Kwa vile ilikuwepo na haikutumika, tasnia ya habari ikabweteka kwa kujiaminisha kuwa haitatumika sasa serikali imeikumbuka inaitumia ndio sasa waandishi tunaamka tunaona tunaonewa!.
Hii kesi itakuwa ndio landmark case ya kuhakikisha this time inakuwa scrapped off from the books of laws!.
Kwanini serikali isipige marufuku watu kufikiri?
kwanini serikali isipige marufuku watu kufikiri?
Dark City hii ni moja ya sheria 40 za ukandamizaji ambazo zilipaswa kufutwa tangu zamani. Kwa vile ilikuwepo na haikutumika, tasnia ya habari ikabweteka kwa kujiaminisha kuwa haitatumika sasa serikali imeikumbuka inaitumia ndio sasa waandishi tunaamka tunaona tunaonewa!.
Hii kesi itakuwa ndio landmark case ya kuhakikisha this time inakuwa scrapped off from the books of laws!.
Dalili zote za mwisho wa utawala wa hiki chama chetu chamapinduzi zinaonekana. Ni muda ndo count down.
Mtazamo, nimeguswa sana na maneno yako!. Wanahabari walibweteka sana na sasa they are caught by surprise!.Tatizo kubwa ni wanahabari wetu,hii sheria ipo muda mrefu lakini hawakuisemea sana,waliipuuza! Wanahabari hawana umoja wa dhati wa kujitoa,hata hii movement tunayoiona hapa ni juhudi binafsi za Pasco lakini bila Pasco kupata sapoti ya kutosha kuipinga sheria hii hatofanikiwa(kumbuka kwa wamiliki wa vyombo vya habari,habari kama hìi haiuzi).hatuna wanahabari wa kujitoa haswa na hata waliopo wanajitoa lakini hawadumu pumzi inakwisha kwasababu ya uchache wao unaofanya washughulikiwe kirahisi kama ndugu yetu Pasco wa JF! Namuombea na Mkuu Max asiishiwe pumzi mapema maana ndio only Survival ambaye target tu haijamlenga ili wamlipue! Tutafika kwa uwezo wa Mola!
Mwita Maranya, tangu ilipotangazwa kuwa miongoni mwa sheria 40 za ukandamizaji, haikuwahi kutumika tena ndio sasa, hivyo hii ndio opportunity ya kuifumua rasmi na kuwa declared "unconstitutional" hivyo kuwa scrapped off from books of laws.Pasco,
Ningependa kufahamu itatokea tokeaje hii sheria kuwa scrapped off the books of laws kupitia kesi hii.
Kwamba hakimu anaweza kuitangaza kuwa iko kinyume cha katiba? ama kupitia kesi hii wanahabari/wanasheria wanaweza kupata platform ya kufungua kesi kuipinga sheria hii?
Alitaka kujitofautisha na yule pasco mayala wa gamba......
Mwambie pia kinagaubaga kuwa mahakama ina uwezo kisheria ku-declare kwua sheria fulani haifai na kutaka aidha ifutwe au irekebishweMwita Maranya, tangu ilipotangazwa kuwa miongoni mwa sheria 40 za ukandamizaji, haikuwahi kutumika tena ndio sasa, hivyo hii ndio opportunity ya kuifumua rasmi na kuwa declared "unconstitutional" hivyo kuwa scrapped off from books of laws.
Mwita Maranya, tangu ilipotangazwa kuwa miongoni mwa sheria 40 za ukandamizaji, haikuwahi kutumika tena ndio sasa, hivyo hii ndio opportunity ya kuifumua rasmi na kuwa declared "unconstitutional" hivyo kuwa scrapped off from books of laws.
Mwambie pia kinagaubaga kuwa mahakama ina uwezo kisheria ku-declare kwua sheria fulani haifai na kutaka aidha ifutwe au irekebishwe
Dalili zote za mwisho wa utawala wa hiki chama chetu chamapinduzi zinaonekana. Ni muda ndo count down.
Ndinani, kuhisi pia ni miongoni mwa freedom of expression. Wasiliana na Faiza Foxy kuna post nilimjibu hadi kumuelekeza ofisini kwangu pale kwenye ule mjengo mkubwa jirani na St. Peters. Nawewe nakukaribisha ile pale ofisini hatuitani majina yetu halisi, kama uko serious njoo tuu iniulizie kwa jina la kazini waniita 'Chifu' ukifika tuu getini na kusema unakwenda kwa Chifu utaletwa moja kwa moja na utaniona.Huyu Pasco nahisi ni mtu wao wa Tiss anakuja hapa kujifanya is concerned by the plight of the fraternity of jounalists at the same time anatutisha tusiandike kukosoa serikali eti wanaweza kulifunga jukwaa!! HAKUNA NCHI INAKOMBOLEWA BILA SADAKA YA WATU FULANI FULANI katika jamii na hawa wakina Mwigamba, Kibanda na Makunga wao ndio sadaka yenyewe ya kuelekea ukombozi wa nchi!!Watawala wetu hawako tofauti na wakoloni waliowafunga waandishi wa habari Makange na Baghdeleh na hatima yake nchi ikakombolewa toka ukolono!! Tatizo la hawa jamaa ni wavivu wa kusoma historia kazi yao kusikiliza mipasho ya taarab ya mzee Yusuf tu!!!
Sio wahariri tu,WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA WETU,enough is enough bwana!Hivi hawa mwananchi communication wanahusikaje?Kwani kazi yao ni kujua habari ilivyoandikwa au ni kuchapisha?
Huu sasa ni uonevu mkubwa na waharii wasipoungana itakuwa hatari sana.