Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
JK baada ya kuzunguka kwa helikopta kuona mafuriko yaliyowakumba wakazi wa Dar atahutubia wakazi wa jiji hili katika uwanja wa shule ya Mchikichini, Ilala mchana huu.
Jjk baada ya kuzunguka kwa helikopta kuona mafuriko yaliyowakumba wakazi wa Dar atahutubia wakazi wa jiji hili katika uwanja wa shule ya Mchikichini, Ilala mchana huu.
akitoka hapo apande ndege aende ughaibuni kutuombea misaada ya kibinadamu
Kwanini iwe wrong move? Unaelewa maana ya kufarijiwa? Imagine ni wewe umepata tatizo...halfu RAIS wa nchi anakuja kukupa pole..utajisikiaje? Kuna faraja unayoweza kupata zaidi ya hiyo?You must be kidding??? Yaani watu wako kwenye mafuriko halafu anategemea waende uwanjani kusikiliza hotuba........... kama anataka umati apeleke masufuria ya ubwabwa ili yavute watu wenye njaa. Kama kweli atafanya hivyo itakuwa very wrong move.... Bora ahutubie kupitia Redio na TV.
Kwanini iwe wrong move? Unaelewa maana ya kufarijiwa? Imagine ni wewe umepata tatizo...halfu RAIS wa nchi anakuja kukupa pole..utajisikiaje? Kuna faraja unayoweza kupata zaidi ya hiyo?
Wahanga wanahitaji wapatiwe misaada ya kibinadam kama vyakula,madawa,makazi ya dharura,vyandarua etc.Hayo maneno anayoenda kuongea huko hayana tija wakati huu ambapo wahanga wana matatizo makubwa na ya msingi.Kwanini iwe wrong move? Unaelewa maana ya kufarijiwa? Imagine ni wewe umepata tatizo...halfu RAIS wa nchi anakuja kukupa pole..utajisikiaje? Kuna faraja unayoweza kupata zaidi ya hiyo?
Good show JK
Ile mindege ya siku ya maadhimisho 50 iko wapi kusaidiaaa???