Nilipeleka mgonjwa saa 10 alfajiri hao mgambo wa Suma JKT wnaniambia nimuache mgonjwa kwanza nikapaki gari barabarani ndo nirudi eti hapo hamna parking! Sijui wamekuwaje na parking yenyewe mchana hamna nafasi ni stand ya taxi na Bajaj, bora basi hata kungekuwa na parking maalum
Serikali ana mkataba wa kununua gari za Toyota.... Ni terms ambazo huziwezi vunja nafkiri Wizara ya Ulinzi, mambo ya ndani na Ikulu wananunua aina zingine..... Ukikuta gari la halmashauri /serikali siyo Toyota ni la msaada ila hii haihusishi magari ya kazi kama lorries, nk
Watu wanaisifia Simba lakini kiukweli anaestahili Kongole ni Azam Fc katika timu iliyoanza Tunisia ni wachezaji wawili tu! Mkude na Mwamnyeto ndo hawajapitia Azam waliobaki wote wamepitia Azam
Ok pole kwake! Sio kama nafurahia ila "what goes around comes around" and karma is a bitch huyu producer katumia umaarufu wake kaumiza saana! Maunderground wengi sana! Analipwa pesa ila hawapi kazi zao anawazungusha zungusha tu! Nimesikia zaid ya maunderground wanne wakimlalamikia same issue afu...
Panone FC wameshuka daraja la pili, JKT Oljoro wamepanda daraja la kwanza.. AFC, Madini na Pepsi ya Karatu wako daraja la pili kinachokwamisha timu za ukanda huo no mipango mibovu na tamaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.