njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
ni bora acheze kiungo cha juu ingawa hajui hata kupiga pasi,mkabaji awe nyoni,angalau kama ni ugenini unapata sense ya kujiinda,wawa,onyango,nyoni na huyo mkudeKakuchapia / Kakukanyagia / Kakutindulia / Kakungonolia Demu wako au Mkeo labda? Ukisema 'humkubali' Mkude wenye Akili 'tutakudharau' sana.