Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,838
- 5,294
Mm nilikuwa nawaza ujinga km huu wako nkawa najifikirisha maujinga icje ikawa ni njama za sihasa (fissi emu) kututoa kwenye reli nikagundu n mikonyagi imenileweshanimezoom sana video mbalimbali kutafuta mixer zilovunjwa computer nk sijaona
zaidi nimeona MIC CONDENSER ipo juu ya kochi sasa sijaelewa ni vyombo vipi vyote vilivovunjwa
pia nimefata hii ashtag #chersecurity
lkn hola
account yake pia ninaona giza tupu sasa akili yangu inawaza pengne ni amshaamsha ya kitu kipya kinakuja
mana nilitegemea zingetapakaa picha na video vyombo vya studio vikiwa vimevunjwavunjwa na hao walinzi shirikishi walovamia studion kwake na kufanya uharibifu na udharirishaji kwa wanawake
mkuu ukipata Picha zaidi au Video tupia tuone namna uharibifu wa mari ulivyofanyika ili tuweze tafsri ni tukio la namna gani
Hatu katai Inawezekana kafanya hivyo,sasa mpaka kufikia hatua ya kwapiga wasichana waliokuwa studio bado haitoshi,una ingiza videlo,wengine mkono kwenye uke wa mwanamke,wakati huyo binti hana kosa hajakufanya chochote.Ok pole kwake! Sio kama nafurahia ila "what goes around comes around" and karma is a bitch huyu producer katumia umaarufu wake kaumiza saana! Maunderground wengi sana! Analipwa pesa ila hawapi kazi zao anawazungusha zungusha tu! Nimesikia zaid ya maunderground wanne wakimlalamikia same issue afu anawajibu mbovu
Swali kwa kamanda Mambosasa
Ni mvamizi gani anapeleka aliowavamia kituo cha polisi na kuwafungulia mashitaka?!
Hii inawezekana Bongo tu ya Viwanda View attachment 1601412