Recent content by Mchimbwi

  1. M

    Iran: Israel itafutwa kwenye ramani ya dunia

    Ila patachimbika!!!
  2. M

    Hamis Kiiza 'Diego' amwaga wino Simba!

    Masuke inaonekana hulijui soka la bongo!!
  3. M

    Nafssi za kazi game

    Nenda mwenyewe usipende mtelemko kijana, kaulize pale pale!!
  4. M

    Hamis Kiiza 'Diego' amwaga wino Simba!

    Ngoja tuone maajabu ya musa!! Mwaka huu kwa kiiza!
  5. M

    Jeshi latanda Mjini Songea

    dah!!amakweli ya ngoswe mwachie ngoswe,tunalipeleka Wap taiga hili tukufu???
  6. M

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    dah!umenena ukweli mtupu ndugu yangu!ila umesaidia xana kuwapanua mawazo vijana wanaohtimu vyuo vikuu kwa hapa tanzania!
  7. M

    Sababu za CCM Kuogopa Katiba Mpya Hizi Hapa

    Kidogo hoja imenikuna!
  8. M

    Nyumba iliyogeuzwa danguro la bangi huko tabata yafichuliwa , vibaka na makahaba wala kibano

    Hapo ndo tujiulize mpango wa serikali kwa vijana ni upi?
  9. M

    Nyumba iliyogeuzwa danguro la bangi huko tabata yafichuliwa , vibaka na makahaba wala kibano

    Hapo ndo tujiulize mpango wa serikali kwa vijana ni upi?
  10. M

    Justi bieber ni noma, hivi ndo alivyoamua kulifanya gari lake. Cheki hapa

    Kiukweli ni kwamba jamaa wako juu,na huu ndo wakati wake wa kuenjoy.
  11. M

    post za jeshi 2013

    xafi maana hawezi ingia jeshin mpaka apitie jkt,kwani siku hizi mfumo wa kuajiri umebadilika jwtz wanaajiri vijana kutoka jkt tu labda uwe professional.
  12. M

    Kunani wizara ya afya na ustawi wa jamii...!!??

    Hii ni ajabu kweli kweli kwa nchi inayotafuta wataalamu katika kada mbalimbali!!hebu angalia maajabu ya badhi ya wizara zetu hapa nchini,zinatangaza nafasi za kujiunga na masomo katika madaraja tofautitofauti lakini wanaweka vikwazo na huku wakijua vijana wengi wanazihitaji nafasi hizo kwa muda...
  13. M

    wizara ya futa ajira mpya za walimu 2013

    Yanini malumbano,fanyeni hivyo check out all of the web sites.
Back
Top Bottom