Iran: Israel itafutwa kwenye ramani ya dunia

Iran: Israel itafutwa kwenye ramani ya dunia

Status
Not open for further replies.
Labda USA ifutike ndio muanze conversation ya kufutika Israel, hayo mengine ni hadithi tuu.

Unajua Marekani ilifutika baada ya CIVIL WAR na States below the MASON-DICKSON line kutii amri na kuwa Marekani mpya? Soma historia yako.

Lakini hivi kweli wewe ulisoma bandiko langu in its entirety? Naomba ulisome lote halafu urespond. Nasema hivi kwa sababu response yako inaonekana out of context.
 
Sadam ni kidume. Hata ni taifa pekee ambalo alisimama kupigana na zote za magharibi zenye nguvu duniani ukiondoa ufaransa.
Usa
Canada
Spain
Uk
Japan
Germany
Saudi
Syria
Israel
Uganda
Italy
Nk nk
Nchi zote hizo zilijumuika pamoja kumpiga sad mmoja.
Na Kamanda Sadam alihimili vishindo....
Akawekewa vikwazo ..
Ni kidume hakika. Ukiangalia juu juu utaona ohh sadam mbona kapagwa kwenye shimo...ukweli ni shujaa wa karne hii.
Hio israel ichangiwe kiasi kile kama taifa ni masaa 10 tu haipo tena..

Hiv Uganda nayo ilishiriki na ni miongoni mwa mataifa yenye nguvu duniani?
Naomba ufafanuzi wa kina hapo bopwe ili nielewe.
 
Last edited by a moderator:
Micheweni Pemba

Acha uongo wewe, Ahmed Najad ndio nani? Na hayo mabomu ni mabomu gani? Acheni stori za vijiwe vya kahawa. Hivi unafikiri Israel atakuwa amekaa tu wakati eti kuna makombora yameelekezwa kwake? Unawajua wale watu au unawasikia?

Usichokijua haimaanishi hakiexist. Omba uelekezwe, u have no idea wht Iran is cable of especially with those Russia missile now
 
Mtu unaizungumzia izraeli kama unaizungumzia somalia kumbukeni wamwshapigana na mataifa yote ya kiarabu yaliyoizunguka na wakashinda
 
Israel is there to stay and no one will destroy Israelites !

Harming Israel is like harming God, Israel is even given power from biblical words....

When it was time for Israel to move from slavery in Egypt...they just moved...Pharaoh couldn't stop them...

As well as Iran can not stop them....

Nakusaport mkuu...japo sipendi Israel wavamie hawa jamaa

History ain't t?gud luck
 
hhahaha hawa watu wanadhani Israel ni kama tanzania. Huko Iran kwenye wamejaza ma spy vibaya mmno unadhani kuna nchi inawezwa zingirwa na maadui na still wanamnyooshea vidole tu wajaribu waone.

Story za kusadikika!
 
Mtu unaizungumzia izraeli kama unaizungumzia somalia kumbukeni wamwshapigana na mataifa yote ya kiarabu yaliyoizunguka na wakashinda

Walishnda kwa sababu ya kuwepo myahud ndan ya serikali ya misri
hujasikia walipata kipigo kutoka kwa hezbolah hadi makamanda na mawaziri wakajiuzulu
israel ikapata hasara kubwa sana
 
hhahaha hawa watu wanadhani Israel ni kama tanzania. Huko Iran kwenye wamejaza ma spy vibaya mmno unadhani kuna nchi inawezwa zingirwa na maadui na still wanamnyooshea vidole tu wajaribu waone.

Source please
 
Watu wengine sijui wakoje hawakosi visingizio,walishajitoa ufahamu hata kusema waweke chanzo cha habari zao napo wanashindwa wanabakia kusema Source Radio Tehran.labda kwa kuwa wengi wamefunga hivyo hawawezi kudhibitisha kauli zao lakini wewe pambeetyu umechemsha tena sana tu.
Walishnda kwa sababu ya kuwepo myahud ndan ya serikali ya misri
hujasikia walipata kipigo kutoka kwa hezbolah hadi makamanda na mawaziri wakajiuzulu
israel ikapata hasara kubwa sana
 
Last edited by a moderator:
SIDANGANYIKI2015

Jee unajua.
Kipindi cha Pharaoh Waisrael walikuwa Watumwa Misri.hawakuwa na Nchi walipata mateso hadi wakachanganyikiwa.

Ahmed Najad aliutangazia ulimwengu kuwa ikiwa Israel itaishambulia Iran Kijeshi basi atawapiga mabomu ya ajabu hadi mifupa yao isionekane.na sio awapige Bila sbb kama usemavyo we we.

N.B
Iran ipo karibu sana na Israel.kuna mizinga isiopungua 380 yote imeelekezwa Israel.na pia ufahamu Technologia iliotengenezewa Mizinga hio hadi sasa Wayahudi hawajajua wataizuiaje maana ukiipangua kwa vyombo maalum haiwezi kudetect ila inaacha chemical za Nyuklia ukinusa harufu tu ngozi yote kwenye mwili inatoka.
Msaadizi wao USA akiingilia atasababisha vita ya tatu ya Dunia.maana kuna Russia na China zote ni watiifu kwa Iran.

iran inamiliki maelfu ya tani ya silaha za sumu/chemical
iran ina makombora ya chemical ya masafa marefu hapo lazima israel akishambulia ajue ndo mwisho wake
 
Last edited by a moderator:
Maneno yale yale waliyokuwa wanasema enzi za sadamu na sasa yuko wapi????na sasa wewe unatuletea hizohizo maana inaonekana Iran ana kiherehere sana sasa mwambie aanze akione kilichomtoa sadam na kilichomuua Osama.
iran inamiliki maelfu ya tani ya silaha za sumu/chemical
iran ina makombora ya chemical ya masafa marefu hapo lazima israel akishambulia ajue ndo mwisho wake
 
Maneno yale yale waliyokuwa wanasema enzi za sadamu na sasa yuko wapi????na sasa wewe unatuletea hizohizo maana inaonekana Iran ana kiherehere sana sasa mwambie aanze akione kilichomtoa sadam na kilichomuua Osama.

iraq ilikuwa dis-unity kubwa ndo mana wakawashinda
Na osama kaingiaje kwenye hii mada?
Israel ana makombora gan aliyotengeneza mwenyewe zaidi ya jericho alopewa na usa?Mwisrael ashaunda ndege gan zaidi ya kununua tu?
 
Yaani wewe ulitaka Israel iwa-UNITE??? Unasema Israel ina makombora gani kwa hiyo ulitaka Israel ije ikutangazie kuwa nina kombora moja tu???? Hata mimi nikiwa na silaha ninayo tu hata kama nimepewa bado ni silaha yangu na isitoshe hakuna nchi inayopigana vita kwa kutumia silaha ilizotengeneza yenyewe tu ni lazima atumie na silaha za wengine kutokana na ubora wake.

iraq ilikuwa dis-unity kubwa ndo mana wakawashinda
Na osama kaingiaje kwenye hii mada?
Israel ana makombora gan aliyotengeneza mwenyewe zaidi ya jericho alopewa na usa?Mwisrael ashaunda ndege gan zaidi ya kununua tu?
 
Ukiwa hujui jambo ni bora ukakaa kimya, Israel ndo taifa pekee duniani linaloongoza kwa technolojia ya slaa za kivita na kwa taarifa yko tunavyoongea hivi wana tech ya kutengeneza bom linaitwa Sam & Delila bom la kuangamiza dunia nzima na wao wakiwemo, kumbuka kilichowapata waarabu mwaka 1967 mpaka leo misri aliapa kutoigusa tena Israel.
 
Hapa yunaonekana tunaongea na mtu ambaye hajui kitu ndo maana analeta visababu vya kushindwa vya kitoto sana,tatizo la hawa ndugu wakikaririshwa basi wanakuwa hawana hoja ukimtoa kidogo tu kwenye hoja hiyo tayari atakuwa amepoteza dira hata tu ukimuuliza akuambie chanzo cha habari hiyo utamwona anaishia mitini maana hajui kitu bali amekaririshwa tu.
Ukiwa hujui jambo ni bora ukakaa kimya, Israel ndo taifa pekee duniani linaloongoza kwa technolojia ya slaa za kivita na kwa taarifa yko tunavyoongea hivi wana tech ya kutengeneza bom linaitwa Sam & Delila bom la kuangamiza dunia nzima na wao wakiwemo, kumbuka kilichowapata waarabu mwaka 1967 mpaka leo misri aliapa kutoigusa tena Israel.
 
Mwarabu ni mwarabu tu acha watu wafanye biashara na ndo lengo la ulaya kuiweka Israel pale. Na hakuna mwarabu ataigusa zaidi ya kuongea tu na kutishia
 
Kuna wakati uki_post jambo liweke kama unataka elimu ya ujuzi ila usitake kufanya unajua kumbe hujui.
Hii kitu ulo_post hapo inabidi ujifunze zaidi kusoma msaafu wa kikisto #Bible utapata kujua kwa nini #Israel !
For more take Bible and read carefully Exodus chapter 19 verse 5 to 10.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom