Ifike wakat sasa vijana tuache ushabiki mpofu kwa chama,,yan kwa kuwa ni chama chako bas hata kikikosea huwez kosoa ifike mahala tuwe na uweze wa kupambanua mashudu na pamba sio kila kitu cha kulaumu na si kila watendewacho wapinzani ni uonevu mbna wanashinda kesi nyingi tu lakin hatusikii Ccm...
Na huyo alipiga askari na kukata uzio uliowekwa na halmashauri kupitia askar akapita kwa nguv af akiambiwa matus juu Daah huyu mtu acha sheria imtafune
Yan hii Tanzania nilikuaga nawaza atokee dikteta mwenye akil na mawazo yakinifu nchi itakua na maendeleo makubwa lakin huu udikteta uchwara na mawazo mgando bado tutasota sana asee
Yan mm nashangaa sana mijitu ambayo bado inamtetea mh rais kwamba anafanya vizuri kiuchumi [emoji14] [emoji14] hvi wafanyakaz ile kodi ya single digit vipi,,,hali ni mbaya sana kiuchumi yan haijawah tokea tangu kuumbwa kwa Tanzania af mijitu bado mnatetea ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.