Mkuu kula tano.!Nilipiga sana chepe kukoroga zege mitaa ya mwisenge,makoko,baada ya kumaliza 6!Sasa hivi namshukuru Mungu!Head phone ilikuelemea?? Mtoto wa mama!!
Wenzio tunasubiri majibu ya four nilipiga chepe kujaza mchanga au kokoto kwenye malori daaah!! Sitaki kukumbuka kabisa
Mi jina langu la kikristo halina upwani hata kidogo, na chuo nilikua hapa hapa mjini.Kuna binti mmoja alikuwa anafanyakazi shoppers ana jina la kipwani mwasiti or something like that nilimuelewa sana nikaamua nimtokee.
Siku ya siku nimeibuka sehemu wanakulaga lunch namuulizia naambiwa kaacha kazi kaenda kuanza chuo UDOM! Sio wewe kweli?
Shule ulikuwa unakwenda mda gan?... Au ndio kama kakakuona ukionekana shule tu kuna jambo!
Aar wapi sio ngumu kawaida tu, Utazilinganisha na kazi za watu wengine humu Jf waliokua wanakata mikaa maporini huko nzega wanakaa wiki nzima na wanaendesha baiskeli na magunia yao ya mkaa mpk Shinyanga na waulize ujira wao ulikua ni kiasi gani.Unamlinganisha na mtu anayelipwa kwa Sterling pound(£).Acha utani aisee,hio kazi ni ya kichumba tu.Sidhani kama ana nia ya kushinda bali ni katika kuelezea ugumu wa kazi alizofanyaa nam ni kweli kazi alizofanya ngumum mnoo!
Nusu roho initoke 2002 nmemalza six nkapata kazi ya upagazi(uporter) mlima Kilimanjaro tumefika kambini tukapewa dumu ( pukudu) tufate maji sitasahau ule mlima ...waone wakilewa tu Ile kazi ni ngumu hapo bado umetoa jembe kwa guide, mnazidishiwa kilo na kwenye tipu guide anafunga kirunji
Kuna binti mmoja alikuwa anafanyakazi shoppers ana jina la kipwani mwasiti or something like that nilimuelewa sana nikaamua nimtokee.
Siku ya siku nimeibuka sehemu wanakulaga lunch namuulizia naambiwa kaacha kazi kaenda kuanza chuo UDOM! Sio wewe kweli?
Umenichekesha sana mkuu kwani mmoja wapo ulikua unampango wa kumtongozaHiyo ya kujenga tiles ndiyo ilikua ishu, nilikutana na wadada wawili huku nimebeba mashine ya kukatia tiles, wale wadada tulikua darasa moja. Ngoma imenikuta Magomeni hospitali hakuna pa kuingia pale.
LolNikitoka kiwandani nikiwa mtaani huwezi kujua nilichokifanya.
Dhaaa hlo gape la form 6Gape ya form 4 nlipika maandaz gape ya form 6 nlikua bek 3
Huko kwenu nilikunywa pombe fulani ya muhogo jina nimesahau yamkaya kama hivyoKwetu Songea, maana ya username yangu au ID naijua sana.... Maana yake mtu ambaye hajaoa
Hatari sana asee sasa hapo direct cost inahitajika af huna hata pakuipataDhaaa hlo gape la form 6
Aisee n kama ulijikaza sana
Watu tunatoka mbali kwa kweliHatari sana asee sasa hapo direct cost inahitajika af huna hata pakuipata