Wanaume wanaovaa Saa za mkononi huwa hazisomi majira

Mi ninayovaa ni nzima na inasoma majira vizuri, kwa wengine siwezi kuwasemea
 
Wanaume wengi tunavaa saa na mfukoni tuna simu mbili, kama saa ni mbovu basi simu zinatosha kusoma muda mkuu
Habari zenu,nimejaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya wanaume wanaovaa SAA za mkononi huwa hazisomi majira.sasa hii INA umuhimu wani wa kuvaa kitu ukaonekana mtanashati kumbe SAA kopo?mnatia aibu jamani
 
Ila kuna ka ukweli, yangu pia haisomi ila ukiniuliza muda naangalia kwenye simu saa kama pambo tu
 
Saa ya kwake, mkono uliovaa saa wa kwake, saa kanunua kwa pesa yake, anayelalamike WEWE. Shida yako ipo wapi? Kinakuuma nini?
 
Cha kushangaza nyie nyie ndio mnaoziomba et babe nimeipenda saa yako naiomba
 
Habari zenu,nimejaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya wanaume wanaovaa SAA za mkononi huwa hazisomi majira.sasa hii INA umuhimu wani wa kuvaa kitu ukaonekana mtanashati kumbe SAA kopo?mnatia aibu jamani
Daaaaaah

Kama unamaanisha hizi saa za mkononi

Huu uzi umenigusa mimi moja kwa moja. Hapa nilipo Nimevaa ka saa kangu ka disco lakini ni kimeo.
 
ea86d3531a3cf3e88463b91502a1582b.jpg
Enzi hizo hizi hazikupoteza majira na zilikuwa halisi! Shule aliruhusiwa kuvaa time keeper tu!
 
Habari zenu,nimejaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya wanaume wanaovaa SAA za mkononi huwa hazisomi majira.sasa hii INA umuhimu wani wa kuvaa kitu ukaonekana mtanashati kumbe SAA kopo?mnatia aibu jamani
Nini hasa lilikuwa kengo la utafiti wako? Nani kagharimia utafiti huo? Na je siyo kweli kuwa unatumiwa na mataifa ya nje kuleta uchochezi hasa wakati huu ambao tumewadhurumu waathirika wa tetemeko la Kagera misaada waliyochangiwa?
 
Back
Top Bottom