Mnaikumbuka sera ya;
HARI MPYA, NGUVU MPYA na KASI MPYA?
Na Je, Swala la Ajira Nyingi kwa Vijana?.
Na ss, juzi tu serikali imeruhusu wananchi wa Afrika Mashariki kuja kufanya kazi ktk vyuo vya binafsi.... Kazi ipo.
Vipi, sera imekidhi haja ya Wa-Tz wengi?
Rats are very easy to breed. In fact, many people end up with unplanned baby rats! Rats can reach sexual maturity at 5 weeks of age, so the sexes should be separated prior to this age. Rats do not recognize incest, so brothers and sisters and even mothers and sons must be separated.
Rats do not...
Panya wana sifa ya kuzaliana haraka. Katika miezi 18, jike huzaa watoto wanaofikia milioni moja (1).
Kazi kwelikweli.
====================================
Kuna aina tatu za panya nazo ni:
1. Panya aina ya kwanza ni wale ambao wenyewe wakiwa ndani ya nyumba huwa wanakula vyakula mbalimbali...
Walianza kwa kufunga ofisi zao za Kampala, wakaja za Nairobi then wakahamia za TZ huko Dodoma, Morogoro na Mbeya juzi juzi na final Zambia.
Wale wa Dodoma wanadai kampuni imeuzwa na mnunuzi ana mpango wa kubadili jina...
Hivyi ni kweli? dah! Nitayamiss sana mabasi yale coz ulikuwa usafiri...
Siamini kama hiyo ndiyo sababu kwa sababu kwanza ana ndege yake na pili Ice land iko mbali sana na Marekani. Msimamo ni ule ule, labda ana deal lengine...
Huenda anataka kuenda nchi za ulaya juu kwa juu ili hali huku JAM IMEKUWA NDY ORDER OF THE DAY...
Wadau, ni matumaini yangu mnaendelea vyema na majukumu.
Nachukuwa nafasi hii kueleza kile kinachonishangaza. Hivyi karibuni kiwanda cha Coka kupitia vinywaji vyake walitangaza zawadi mbalimbali za kujishindia pale utakapotumia moja ya vinywaji vyake...
Cha ajabu namalizia kreti ya tatu hapa...
Aaah! mkuu wale Clouds huwa wanachukuwa tu... ukiangalia wafanyakazi wao wote ni blaa blaa tu... As long unajua kubwabwaja basi... Sidhani kama wamesomea uandishi wa habari... Ndy maana kina Fina Mango waliamua kutimua coz hamna kitu pale... Hata Masoud Jipanya alishawahi kusema pale aliingia...
Wadau, jana nilikuwa nikisikiliza kipindi cha JAHAZI, Clouds Fm na ndipo nikapata nafasi ya kumsikia Sophia Simba akihojiwa na Kibonde kuhusu swala la yeye kugombea mwaka huu....
Mama huyo alisema, hatagombea ubunge sehemu yoyote ile ila atakuwa mpiga debe tu kwa wanawake watakaojitokeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.