Je uliya jua haya kuhusu Clouds Media?

Status
Not open for further replies.
SIjaelewa msingi wa hii thread. Sometimes JF tunakuwa hatuna muelekeo kabsaaa. Clouds ni chombo cha habari binafsi na mambo ya ajira huko hayatuhusu UNLESS kaa wanavunja sheria fulani, basi hapo wanapaswa kumulikwa..Otherwise wee kaa hutaki kuwasikiza mlango upo wazi kuangalia ustaarabu kwingine, hujalazimishwa kusikiliza watangazaji wao 'waofeli shule'..sasawa?
 
uko sawa ..watanzania walio wengi uelewa wao ni mdogo ndio maana vitu popular kwenye sekta ya habari Tanzania ni vile worst......

mfano:gazeti maarufu ni Ijumaa[Limeajiri watukana fani]

Redio maarufu ni : Clouds [imeajiri wanaojiita waandishi ,kumbe ni ma MC]

NI kweli tatizo kubwa pale cluods ni shule ndogo....

kibonde alikuwa azania akaondoka na zero

Gadna alikuwa Popatilal akaondoka na zero

Kusaga pia ni almost drop out- alitoka marangu sec na zero

Lazima nikiri kuwa wale watoto wana vipaji lakini ingependeza sana uongozi wa Clouds ukaweka mipango mahsusi ya kusomesha vijana wake kozi fupi fupi especially za nje ya nchi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu...sidhani kama kwa mwaka clouds wanashindwa kupeleka watangazaji wake training na secondments au exchange progmrams au attachment hata watangazaji watano kwa mwaka....itasaidia sana kuwanoa na baada ya miaka 3 wanaweza kuwa na watangazaji wenye vipaji na vyeti angalau basic vya fani.....[/B]
Baadhi ya facts sio kweli. Kibonde na Kusaga wote walimaza Mzizima miaka tofauti.
Utangazaji sio shule ni kipaji. Ili kuwa mtangazaji mzuri, mtu hahitaji kuwa na degree. Watangazaji wote wazuri wa zamani wa RTD wote ni Form IV leavers.
Jahazi walianza vizuri, kama kawaida ya mgema akisifiwa, tembo hulitia maji, hivyo vijana hawa sasa wamelewa masifa tuu.
 
All in all we have a big problem in our education systems, swala la reasoning capacity kwa nchi yetu inategema sana na umelelewa vipi na sio umesoma mpaka level gani! ni ngumu sana kumtofautisha form four na form six kwa maisha ya kwaida ukiondoa elimu ya kitabuni. Kama wanaajiri darasa la 7, form four, form six ,..whoever, na wanaweza kufanya kazi vizuri whats wrong!

Sasa watangazaji wote wawe wanajieleza kiwango cha elimu yao kabla ya kuanza vipindi. Ukiona upupu kitoe kusikiiza. Kuna kabila moja linalothamini sana vyeti, kiasi kwamba mgonjwa akienda kutibiwa hospitali anaangalia ukutani vyeti vilivyotundikwa. Anauliza wewe daktari au nani, unazo digrii ngapi? Jamaa mmoja amebandika mavyeti kibao basi kwake pamefurika wagonjwa, wanaamini huyo ndiye anayewafaa kuwatibu. Ajabu yake dokta huyo anashindwa kufanya vitu very elementary anarefer kwingineko ambako RMA ndiye anayewapokea na kuwatibu vizuri sana.

Mhindi ukimcharge kidogo anajua wewe ni danganya toto sio docta. Ukimcharge kupita kawaida anaamini wewe ndio dokta na sio photokopi. Anaamini unacharge kulingana na kazi utakayoiifanya kwa umakini.
 
afterall kama kipindi cha entertainment na kinafanikiwa kuintertain watu, kibaya ni kipi hapo.............. kama wangekuwa wanatukana watu wangekuwa hewani hadi leo?? mkuchika angewaacha???.......... acheni kulaumu tu na kukosoa kila kitu............. mnaabudu sana vyeti ndo maana wanasiasa/wabunge wanaaletea vya heshima (eg. Dr rwakatare) na vya kuchonga (eg. mafisadi wa elimu) na mnawapa ulaji wa maisha yao yote japo hakuna wanalofanya ............. na mwaka huu tena mnawapa tena wa kishindo.............. maendeleo sifuri........... au kama vipi, juingeni muanzishe redio yenu yenye mamdigrii kibao muonyeshe mafano, tiuoone kama mtawapita clouds kwa umaarufu kwa sababu ya madigrii yenu.......... na omeni msijetolewa nishai na hao mnaoita felia!!!!!!!!............ wo wamekuwa wabunifu kwa lengo la kuburudisha, kuhabarisa nk, na wanafanikiwa kutimiza malengo yao.............

narudia tena nawapongeza bila soni............. hakuna aliyewalazimisha kuwasikiliza............
 
kweli bwana kufeli shule sio kufeli ki maisha ndugu zangu.pia kuwa na mawazo mazuri sio lazima uwe na degree kichwani
 
SIjaelewa msingi wa hii thread. Sometimes JF tunakuwa hatuna muelekeo kabsaaa. Clouds ni chombo cha habari binafsi na mambo ya ajira huko hayatuhusu UNLESS kaa wanavunja sheria fulani, basi hapo wanapaswa kumulikwa..Otherwise wee kaa hutaki kuwasikiza mlango upo wazi kuangalia ustaarabu kwingine, hujalazimishwa kusikiliza watangazaji wao 'waofeli shule'..sasawa?

i support you 100% mkubwa.................. wanjaza JF na udaku kila siku............... great thinkers wako wapi sasa!!!!!!!...............
 
SIjaelewa msingi wa hii thread. Sometimes JF tunakuwa hatuna muelekeo kabsaaa. Clouds ni chombo cha habari binafsi na mambo ya ajira huko hayatuhusu UNLESS kaa wanavunja sheria fulani, basi hapo wanapaswa kumulikwa..Otherwise wee kaa hutaki kuwasikiza mlango upo wazi kuangalia ustaarabu kwingine, hujalazimishwa kusikiliza watangazaji wao 'waofeli shule'..sasawa?

Kama umesoma nukuu yangu kwenye hii thread utakuwa umeelewa kinachoendelea hapa, Ni kwamba watangazaji wa kipindi cha jahazi walishtumiwa kwenye forums nyingi tu hapa Tz kwamba wanaendesha kipindi chao kwa kuvunja maadili ya utangazaji,baada ya hizo shtuma kuwafikia walengwa (watangazaji wa kipindi cha Jahazi) wali kuja kujuu kwa kutumia mawimbi ya radio yao kwa kuwajibu wanaforum hao kwa lugha ambayo siyo nzuri, ndiyo mmoja ya wanaforum hiyo Bw.Selemani kutaka kujua kiwango chao cha elimu ndipo alipo jitokeza mtu na kutoa maelezo hayo japo juu..
 
market ya tanzania kwa sasa haihitaji elimu wala uwezo wa kuchanganua sana.

wapo pale wanavutia wateja kwa nyimbo, mada za ngono, umbea ............ambavyo vinapendwa na jamii

y should they bother?!
 
Kama umesoma nukuu yangu kwenye hii thread utakuwa umeelewa kinachoendelea hapa, Ni kwamba watangazaji wa kipindi cha jahazi walishtumiwa kwenye forums nyingi tu hapa Tz kwamba wanaendesha kipindi chao kwa kuvunja maadili ya utangazaji,baada ya hizo shtuma kuwafikia walengwa (watangazaji wa kipindi cha Jahazi) wali kuja kujuu kwa kutumia mawimbi ya radio yao kwa kuwajibu wanaforum hao kwa lugha ambayo siyo nzuri, ndiyo mmoja ya wanaforum hiyo Bw.Selemani kutaka kujua kiwango chao cha elimu ndipo alipo jitokeza mtu na kutoa maelezo hayo japo juu..

Sioni justification.. kama wanakiuka hiyo misingi ya utangazaji basi hoja ijengwe kwenye content na sio watu, elimu au ajira ..Huu ndio udaku.
 
Nadhani ubaya wa baadhi ya watangazaji wa hiyo Radio ni ile ya kuwakandamiza watu wengine ambao hawana uwezo sawa naoko kwenye kupata air time, ni lazima tukubali kuwa kuna vitu ambavyo huwezi kufanya eti kwa sababu tu wewe una media kwa hiyo ukatumia hiyo power uliyonayo kinyume na kuwakandamiza watu wasiokuwa na uwezo wa kupata nafasi sawa na wewe. Ingekuwa na maana sana kwa mfano kwa swala la mgomo wa TUCTA wao jahazi kusema yale waliyosema kama TUCTA wangekuwepo pale studio, lakini kutoa hukumu zile walizotoa wakina Kibonde na bwana Gadna bila TUCTA kuwepo pale nao waseme side yao ya stori sio kitu kinachokubalika kabisa, na hii ndio imepelekea watu wenye hasira waache kuzungumzia mambo na kuanza kuzungumzia watu ambacho sio kitu kizuri. Nadhani cha msingi wanatakiwa kujua nini wanaweza kufanya na nini hawawezi kufanya hata kama wanayo radio ambayo wana uhuru wa kuzungumza chochote lakini wasivuke mipaka. Radio ndio zilisababisha watu kuuana huko Rwanda mwaka 1994 watu walitumia vibaya hizo radio. Tuwe waangalifu lakini hilo sio la kufanya tuzungumzie watu badala ya mambo.
 
Hii siyo media aliyoanza kutangaza Amina chifupa(RIP) akiwa bado mwanafunzi? au nimekosea.

All in all we have a big problem in our education systems, swala la reasoning capacity kwa nchi yetu inategema sana na umelelewa vipi na sio umesoma mpaka level gani! ni ngumu sana kumtofautisha form four na form six kwa maisha ya kwaida ukiondoa elimu ya kitabuni.

Kama wanaajiri darasa la 7, form four, form six ,..whoever, na wanaweza kufanya kazi vizuri whats wrong!

Au mnataka std seven, form four na form six failure wakafanye kazi wapi? maana wamefeli mitihani tu ya masaa 3 na siyo aspects nzima ya maisha

I submitt
Na kwa kuongezea watendaji wakuu na wazalishaji mahali popote ni watu wa elimu ya chini kuanzia std seven mpaka diploma,hivyo kama hawa jamaa wanachapa kazi hakuna shida
 
wale wavivu wa kufikiri sana,
kwa karne hii mtangazaji lazima uwe na shule
 
NGoja mie nitoke tofauti, JF it suppose to be a forum of great thinkers but right now contributors are thinking inside the box and not outside the box. Why are we spending our precious time attacking Clouds FM as organisation? Tujiulize kitu kimoja having degrees doesnt make you a great thinker or media personnel. Waacheni wafanye kazi yao, for the record sisi wachangiaji humu JF tunaficha(hide) our really identities lakini kama tungejulikana nahisi tusingewaattack wazee wa jahazi. Cloud FM ni entertainment redio station, entertainment it their primary business kama unakwazwa haujalazimishwa kusikiliza jameni, mbona mie binafsi nasikiliza Power Breakfast Full bila kuacha any segment, kina Dida na Leo Tena yao huwa na select segments kama Nyumbani Kwetu Leo na kidogo mbwembwe za ile segment ya midday wanapocheza sijui kwa midomo tu rusha roho they really entertain me, naondoa stress za vimeo kazini. Saa saba nazima kasimu kangu ka mchina mpaka saa kumi na nusu nasikiliza vichekesho vya Jahazi. Baada ya hapo nahazima mpaka asubuhi, kwa kufanya hivyo nakwepa makwazo. Binadamu tunatofautiana ukipendacho sicho nikipendacho sasa tusilazimishe wote tucheze muziki wa aina moja. Sasa tuwe fair kama tatizo ni Clouds FM sawa come with the solution otherwise potezea au piga kimya.
 
Hizi habari zina ukweli carthbertl wasije kukufungulia mashitaka kama wale viongozi wanaodai wamesingiziwa wamefoji vyeti
 
"Napenda kuchangia mada ya bw.selemani kwa kuuliza maswali yafuatayo:
1. Je,kuna mtangazaji yeyote pale clouds ana shahada au stashahada ya
uandishi wa habari?jibu hapana
2. Je,kuna mtangazaji yeyote alomaliza kidato cha 6?jibu ni hapana
3. Kuhusu kukebehi mgomo wa TUCTA.,Je,kuna mtangazaji anayelipwa
zaidi ya laki 2 pale clouds fm?jibu ni hapana
4. Overall,katika clouds nzima,in all departments, with more than 40
employees,kuna employees wawili tu wenye digrii.
5. Wengi wa watangazaji na wafanyakazi ni form four failure na std 7!!
SWALI KWA WanaJF: WITH ALL THESE CIRCUMSTANCES WHAT DO U EXPECT?
Note: i have had been working there!"
Source: http://groups.google.com/group/wana...06ce?hl=sw&lnk=gst&q=Clouds+#24eabca8ae3d06ce

Hii post nimeikuta kwenye forum moja hivi imenishtua sana, hivi kuna ukweli wowote kuhusu haya maneno.


Ebwana kweli hiyo haijakaa vizuri. kwa ufupi si tumajua kwamba clouds ni redio ya wajanjawajanja sijui kama hata wanajua kitu kinaitwa media ethics. Ijumaa saa kumi jioni muda wa habari wamepiga sigtune ya habari lakini mara tukaanza kusikia matangazo, no habari no apology..hiyo ni redio kwewli ??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom