Recent content by mchafukuoga

  1. M

    Hivi nani anadhibiti ubora wa mbegu na madawa ya kilimo na mifugo

    nilikuwa nataka kupunguza ukali wa maisha kwa kuanza kulima nyanya . nina kama feet 140*90 . nika panga kuzalisha miche 1000 tu ya nyanya, nikafanya mambo yote pamoja na kutibu udongo kwa kuyumia furadan,nikanunua dawa ya ukungu aina ya baylatone(kwa ajili ya ukungu) nikanunua thernder kwa...
  2. M

    Pride ndiyo mkombozi wa wajasiriamali wadogo

    fikiria kabla ya kutenda. Angalia mchanganuo ufuatao; 200000/25=8000/= 11000-8000=3000/= 3000/8000*100=37.5% 8000*25*37.5%=75000/= 11000*25=275000/= jamani hapa riba ni zaidi ya 37.5% kwa wiki huu ni zaidi yawizi wa macho. yaani kopa 8000=kwa wiki halafu lipa 11000/= kwa wiki.
  3. M

    Pumba za mpunga

    Hongera sana kwa kuliona hilo. Kwenye punga kuna vitu vitatu: 1. Mchele 2. Pumba kama mapepe (rice husks) 3. Pumba laini (rice pollishing) Pumba laini yaaani (rice polishing) ni chakula cha mifugo kizuri kuliko hata pumba za mahindi. Swali. UNATAKA UTUMIE ZIPI MKUU? PUMBA ZA MAPEPE(RICE...
  4. M

    GE2010 Hawa Ghasia sikia hii-Watumishi wa Halmashauri za Wilaya Wananyanyaswa sana.

    mkuu bora umesema ila hali ni mbaya kufanya kazi halmashauri ni kama jela. mtu anakaa zaidi ya miezi saba hujalipwa posho ya kujikimu wakati wa kuanza kazi, pia pesa ya usafiri ndio usisema ukiomba hela wanasema oc haina hela. hawa jamaa ni zaidi ya wanyama. mapunjo ya mishahara ndio kabisa...
  5. M

    Mbunge wa Kilindi aipaka JamiiForums

    habari zenu wanajamvi. mimi nataka kumwambia huyu mh asome vizuri kila topic zilizomo humu jamii forum mfano awashauri wanakijiji wake/wapiga kura wake wajifunze jinsi ya kuondoa umasikini kwa kufuga kuku(simple project zimo humu) pia jinsi ya kuanzisha biashara + jinsi ya kufungua makampuni...
  6. M

    Bila ya kuboresha haya umasikini hauishi katu

    habari wadau, a. POLENI SANA NA MGAO WA UMEME USIOISHA . HAYO NDIO MAISHA BORA TULIOAHIDIWA NA MKUU WA NCHI HII MIAKA 6 ILIYOPITA. JAMANI UMEME NI KILA KITU, MAJI CHAKULA MADAWA USAFIRI KAZI PIA ILI UWEZE KUZALISHA UNAHITAJI 1. ARDHI 2.MALIGHAFI 3.NISHATI(MAJI,MAFUTA NA UMEME) 4. WATU...
  7. M

    Swali lisilojibiwa: Ndege ya Qatar iliwezaje kutua KIA?

    nchi hii sijui usalama uko wapi, mara wanyama wanaibiwa , mara mabomu tuliyonunua kwa kodi zetu yanatuua wenyewe, mara askari kapiga raia risasi, ukirudi nyumbani kuna ulinzi shirikishi majambazi wantuvamia hakuna kulala ,ukipanda magari ya mikoani tunakufa kwa ajali, mchana nzi wa kutosha...
  8. M

    Kilimo cha Nyanya: Aina za mbegu, mbinu za kulima na masoko yake

    hongera kwa makala mr patric hebu tujuze kuhusu root knod nematodes hapa ndio pana mziki . nilishawahi kulima nyanya kule mbagala lakini hawa nematodes wanasumbua nilitumia furadan na mocup lakini bado hebu tujuze kama una mpya kuhusu hawa nematodes.
  9. M

    Tanga watatangatanga sana

    sawa je wanatoa wapi malighafi ( raw materials) kama mawe? ili utengeneze saruji ni lazima uwe na mawe yakutosha. nyuma ya hicho kiwanda kuna eneo kubwa sana lenye mawe na ndio huko kuna wafugaji wadogo wadogo kwa uande unaopakana na amboni. VUTA TASWIRA VIZURI NA PIA FIKIRIA KWA MAKINI.:mod:
  10. M

    Ni nini biashara yako?

    Unaweza ukajibu swali hili kwa kuangalia vitu viafutavyo nini unazalish na kwa ajili ya nani? Maana yake ni kuwa biashara ina mambo mawili Uzalishaji (Production) Masoko (Marketing) Kitu cha msingi kukumbuka uko katika biashara ili kuzalisha /kutafuta pesa. Maana...
  11. M

    Export

    Ni nini biashara yako? Unaweza ukajibu swali hili kwa kuangalia vitu viafutavyo nini unazalish na kwa ajili ya nani? Maana yake ni kuwa biashara ina mambo mawili Uzalishaji (Production) Masoko (Marketing) Kitu cha msingi kukumbuka uko katika biashara ili...
  12. M

    Tanga watatangatanga sana

    jamani wana jamvi mwenye habari kamili nasahihi atujuze, kuna kampuni inaitwa athi riva imenunua eneo kubwa sana kwa ajili ya kuzalisha saruji tanga na kuna wafugaji wa n'gombe wa maziwa katika hilo eneo la kuanzia maweni hadi amboni: nina wasisi kama inaweza watu wafukuzwe . mwenye habari...
  13. M

    Mradi wa Viwanja vipya - Kinyerezi

    Watanzania tuna safari ndefu ya kwenda. Hivi huyu prof. Anataka watu wa aina gani wakakae kule kinyerezi? Hebu atueleze tunapata wapi 9mil kwa muda wa wiki 1. Labda mafisadi ndio watakao nunua, hii lazima ifike wakati tukatae tu. Hiwezekani jamani haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa?
  14. M

    CHAI Day 5 Feb 2011 Dar: Kujadili fursa katika Kilimo na ufugaji

    Jamani salama nataka kujoin kwenye hii kitu nipeni procedure
  15. M

    Mikutano ya Diaspora; waste of money, waste of time and waste of space

    nawashauri wabongo mlioko huko ulaya njooni muwekeze bongo anzisheni simple production industry hapa tz msaidie ndugu zenu badala ya kuwanunulia mgari ya mitumba, simu,home theater. huko mna access ya vitu vifuatavyao 1. capital 2.technology tena morden na pia 3.knowledge soko lipo la africa...
Back
Top Bottom