HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Jamani nimesoma brochures za pride na jinsi wanavyotoa mikopo yao nikaona ni safi sana.
Wanaanza kukopesha tsh.200,000/= unalipa tsh.11,000/= kila wiki kwa wiki 25 (11,000 *25=275,000/=). Ukimaliza deni unakopeshwa laki tano (14,500/= kwa wiki kwa wiki 25 marejesho) ukimaliza unakopeshwa 1 million, 2 million and so forth......up to ten million.
Si lazima urejeshe kwa wiki 25, waweza rejesha hata 2 weeks tangu ukopeshwe na unahamia next level........
Nadhani hii itasaidia wa tz wengi wanaotaka kuanza na small loans with soft terms and conditions maana dhamana yao ni kutambulishwa na watu watano ambao tayari wamekopa hapo
guys mpooooo?????
Wanaanza kukopesha tsh.200,000/= unalipa tsh.11,000/= kila wiki kwa wiki 25 (11,000 *25=275,000/=). Ukimaliza deni unakopeshwa laki tano (14,500/= kwa wiki kwa wiki 25 marejesho) ukimaliza unakopeshwa 1 million, 2 million and so forth......up to ten million.
Si lazima urejeshe kwa wiki 25, waweza rejesha hata 2 weeks tangu ukopeshwe na unahamia next level........
Nadhani hii itasaidia wa tz wengi wanaotaka kuanza na small loans with soft terms and conditions maana dhamana yao ni kutambulishwa na watu watano ambao tayari wamekopa hapo
guys mpooooo?????