Vuta ndugu hata hamu ya pombe unakosa Kama unakunywa na NI Bora ukavuta..pia umbea utaacha utakua mtu wa kuwazia future yako tu Mambo ya wengine hayatokusumbua!🤗🤗
Dada mbona tabia za men zile akitimia Hapo lakn akiwa nazo huwezi ishi nae hujaweka mfano;mlevi,mzinzi n.k!..au umechoka kuchagua akivuka Hapo awe anapumua tu😃
Wengi wetu hakuna kitu tunajua, tupunguzeni ushabiki..hakuna hata mwenye ushahidi humu zaidi wote tunatoa hukumu kwa tulichosikia sio kushuhudia!😊😊..IKIWA UNAHISI WEWE HATA DIWANI AKIAMUA ANAWEZA KUKUPANGIA KESI & HUKUMU MAHAKAMANI..KAA KIMYA!!
Kama umehalalishwa kuingia kwenye mahusiano na wazazi tayar embu kwanza mgeukie mzazi wako wa kike muulize aliya mudu vipi kwani hayajaanza leo😊😊..tatizo wa Saiv mnayafuatilia Sana wakati nayo yanahitaji Uhuru,nimekuoa ndiyo na sijala ndani kwanin asubuh nirudi uanze kudai Nina mchepuko badala...
Sikatai ila wengi hawapo siriaz mishe nyngine za kuokoteza zipo ukitafutiza..Sasa wao Hadi ziwafate mkuu!!..naposema wanashinda kwa kijiwe ina maana pakiwa na ugum unakuta bado hawaz kubadili mchongo ko anaona Bora aende kupiga story tu akikosa POA..na KESHO anarud
Kwa kipindi hiki n kawaida kumkuta binti mzuri kabisa anatembeza uji,matunda au mboga mboga na kijana mwenye nguvu zake kabisa hawezi hata kufanya baadhi kazi kwa kujitoa angali elimu Hana kwa kuhofia kushushwa cheo.,anaona Bora ashinde kituo Cha bajaji&boda kusubiri deiwaka na akikosa ndo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.