Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,189
- 46,227
Acha porojo wewe..wanaume tukiuza uji mtaani unadhani tutapata wateja wengi kama wanawake?.Kwa kipindi hiki n kawaida kumkuta binti mzuri kabisa anatembeza uji,matunda au mboga mboga na kijana mwenye nguvu zake kabisa hawezi hata kufanya baadhi kazi kwa kujitoa angali elimu Hana kwa kuhofia kushushwa cheo.,anaona Bora ashinde kituo Cha bajaji&boda kusubiri deiwaka na akikosa ndo basi siku imepita atashindwa kuchangamkia ZALI kama hilo MKUU!!..miaka inavyozidi kwenda pesa naona inahamia kwa wanawake maana nowdays wamekua wapambanaji kutuzidi na wengi wao pesa yao inafanyiwa mambo muhimu(FUTURE PLANS)
Vijana wakiume wavivu ni wachache sana,tuache kuropoka ropaka,,vijana wa kiume wanapitia mengi kuanzia kupata mitaji na pia kupata michongo mitaani..