Cannabis sativa...

Cannabis sativa...

Kuna siku niliplay hizi ngoma studio kwa Radio station moja nlkua nafanya kazi, baada ya show kuisha niliitwa na mkuu wa Idara yetu nikaulizwa unatumia majani? Nikawaambia hapana sijawahi hata na ukoo wetu mtu akitumia anawehuka (serious iko ivo kwetu mtu akivuta anadata jumla) nikawaambia ila nazipenda tu hizi ngoma sabu lugha iliyotumika humo ni ngumu kumeza. Nikasikia naambiwa tu kwenye notice ya pale juu tuliyopandika yenye nyimbo zaidi ya 10 zilizozuiwa kuchezwa redioni na TCRA na hizo 2 tunaziongeza DJs tukazuiwa kupiga hizo ngoma bana kwa hiyo station, daah basi bana ikanibidi nitekeleze tu make ngoma ya mmasai ilingiliwa na mmang'ati.





 
Vuta ndugu hata hamu ya pombe unakosa Kama unakunywa na NI Bora ukavuta..pia umbea utaacha utakua mtu wa kuwazia future yako tu Mambo ya wengine hayatokusumbua!🤗🤗
 
Honestly I was also like you nilitaka kuvuta bangi Ila nikaogopa kua addicted japo Nina rafiki zangu bahadhi huvuta bangi lakini siyo kiolela Mara moja moja Sana ..

Nikijiona nilivyo na watu wanavyo nichukulia nasema hell nah ..boy you're a cool guy chill up man ..

Ila kiukweli natamanig Sana kuvuta japo watu husema nidhambi Sasa mtu anatenda dhambi ya Uwongo kila siku ndo aje aogope dhambi ya kuvuta bangi ?


Haya Maisha bhna nyie subirini tu
 
Niliwahi vuta bangi mara kadhaa kipindi cha nyuma huko. Nilikuwa nikivuta sipendi kukaa na watu, natulia mwenyewe halafu nafikiria mambo makubwa sana vitu ambavyo sikuvipatia majibu wakati sijavuta basi navitatua muda huo. Lakini mbaya zaidi ilikuwa inanikumbusha mimi ni nani na hali halisi ya maisha yangu kwa wakati huo. Shida haikuwa kukumbuka mimi ni nani la hasha ila shida ilikuwa nafikiria deep deeper deepest mpaka nataka kudata aseee nikaona hii kitu inaniongezea uwezo wa kufikiri lakini siku si nyingi itanitoa road, nikapiga chini. Mpaka leo naiogopa sana ingawa kuna muda nikiwa katika wakati mgumu, natamani nivute ili nitafakari kwa kina lakini nikikumbuka madhira yake kwangu napiga chini. Naamua kujibless na lager zangu kadhaa basi.
 
Je utachukuliaje wewe (mwanaume/mume) ukigunda mkeo anavuta bangi? Au wewe (mwanamke/mke) ukigundua mmeo anavuta bangi?


Inakuaje kuna watu wanafanya kazi nzuri kabisa managers, engineers, doctors etc na wanavuta bangi na wala hawafanyi vitu vibaya kama wengine wa mitaani wanavyochukuliwa? Inakuaje bangi hiyohiyo inakuwa na matokeo tofauti kwa watu tofauti?

Sidhani kama bangi ni mbaya, ila pale inapotumika na mtu ambaye tayari ana mawazo mabaya au tabia mbaya ndipo inachochea.

Sijawahi vuta bangi lakini natamani walau niionje nione how high people get, sijawahi tumia kilevi chochote lakini siku nikianza kutumia basi iwe BANGI!

Mbona ni kawaida wadada kunywa pombe tena zile kali lakini haistaajabishi? Ila mimi leo nikisema navuta bangi basi nitaonekana muhuni sana..

I WISH ILA NAOGOPA outcome yake kwangu itakuaje na je nitakuwa addicted? And to my side nitakuwa sawa kabisa mume wangu akiwa anavuta bangi BUT asiwe na uhuni.

Naombeni mitazamo yenu.

View attachment 2004601

Me naamini bangi ni nzuri tena sana japokua sijawah kuitumia but most ov ma friends nnaochill nao maskan ni watumiaj bangi tena sana, na ndio washkaj zangu sana ambao ninawakubali coz huwa hawanaga mambo ya kinafiki wala huwa hawapendi kuongelea habari za mtu, . Those Guyz are good friends.
 
Me naamini bangi ni nzuri tena sana japokua sijawah kuitumia but most ov ma friends nnaochill nao maskan ni watumiaj bangi tena sana, na ndio washkaj zangu sana ambao ninawakubali coz huwa hawanaga mambo ya kinafiki wala huwa hawapendi kuongelea habari za mtu, . Those Guyz are good friends.
Mm mwenyew nna mpango w kuianza mwakani.. nasbiri heart closer Mtumaini Mungu anikubalie tu
 
Mateja wengi walianza na kuvuta bangi co ukianza kuvuta bangi upo kwenye Atari kubwa ya kutumia masembe 75% ya wauza bangi wanauza masembe pia sio rahisi mvuta bangi kukimbia mtego wa sembe wachache Sana walianza kuvuta bangi na kumaliza na bangi ila wengi wanaanza na bangi na kumaliza na sembe be carefully na brother wangu yupo soba Hadi Leo hii
Acha uongo weweee na usitutishe aisee
 
Kama hutaki kuvuta unaweza tumia edibles kama big g, pipi, cookies , keki n.k zenye bangi ...tena hizi zinakua na high kubwa kuliko kuvuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom