Kama umehalalishwa kuingia kwenye mahusiano na wazazi tayar embu kwanza mgeukie mzazi wako wa kike muulize aliya mudu vipi kwani hayajaanza leo😊😊..tatizo wa Saiv mnayafuatilia Sana wakati nayo yanahitaji Uhuru,nimekuoa ndiyo na sijala ndani kwanin asubuh nirudi uanze kudai Nina mchepuko badala kusubir nikwambie nilipambana vip na majambazi Hadi nimefika leo swalaama kabisa!!😊😊
