Natafuta mwenza

Mwali....
Kila ndege huruka na mbawa zake, maana kinywa ni jumba la meno, ndio sababu kinyozi hajinyoi.
All the best....
 
Hivi Cathy inamaana akija Mwanaume ana 30 31 29 28 , mkristo anakazi anajishughulisha huwez mpokea??


Haya poa, ila faham yakua huwez kuta mwanaume ana miaka 35---40--45

Et hana Mchumba ??? Thubutuuu

Yaan Jamaa awe na 40 hana mke ?? Wala mchumba???


Ukimpata 40 wa aina hiyo !! Basis ni Ama hana kazi ... Ana kazi lkn Mashine haifanyi kazi...infanya lkn sio wa Kuoa maana kama kuoa angekua tayari keshaoa.



Nadhan, utawalegezea vijana mashariti sasa.
Umeeleza vema,nakazia tu.
 
Dada mbona tabia za men zile akitimia Hapo lakn akiwa nazo huwezi ishi nae hujaweka mfano;mlevi,mzinzi n.k!..au umechoka kuchagua akivuka Hapo awe anapumua tu😃
 
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
Niko hapa jamani.
Karibu PM tafadhali.

#YNWA
 
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 33
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 35-40
-Awe anajishughulisha


JAPO UMRI WAKO UNAPANDA NA KUSHUKA ILA, KARIBU PM.

#YNWA
 
Hivi Cathy inamaana akija Mwanaume ana 30 31 29 28 , mkristo anakazi anajishughulisha huwez mpokea??


Haya poa, ila faham yakua huwez kuta mwanaume ana miaka 35---40--45

Et hana Mchumba ??? Thubutuuu

Yaan Jamaa awe na 40 hana mke ?? Wala mchumba???


Ukimpata 40 wa aina hiyo !! Basis ni Ama hana kazi ... Ana kazi lkn Mashine haifanyi kazi...infanya lkn sio wa Kuoa maana kama kuoa angekua tayari keshaoa.



Nadhan, utawalegezea vijana mashariti sasa.
 
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
Kila la kheri mwajiliwa
 
Cathe2 Tuanze na hili la wewe kukosa mtoto, njo nikupe mimba uzae kwanza umri unaenda huo. Vigezo vyote ninavyo kasoro umri ni 29. Binafsi Nina watoto wa3 kila mmoja na mama yake na wote nawahudumia. Njo PM tuelewane.
 
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto

Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
hapo kigezo cha dini tu ndo kinanitoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom