Umeeleza vema,nakazia tu.Hivi Cathy inamaana akija Mwanaume ana 30 31 29 28 , mkristo anakazi anajishughulisha huwez mpokea??
Haya poa, ila faham yakua huwez kuta mwanaume ana miaka 35---40--45
Et hana Mchumba ??? Thubutuuu
Yaan Jamaa awe na 40 hana mke ?? Wala mchumba???
Ukimpata 40 wa aina hiyo !! Basis ni Ama hana kazi ... Ana kazi lkn Mashine haifanyi kazi...infanya lkn sio wa Kuoa maana kama kuoa angekua tayari keshaoa.
Nadhan, utawalegezea vijana mashariti sasa.
Niko hapa jamani.Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
Hivi Cathy inamaana akija Mwanaume ana 30 31 29 28 , mkristo anakazi anajishughulisha huwez mpokea??
Haya poa, ila faham yakua huwez kuta mwanaume ana miaka 35---40--45
Et hana Mchumba ??? Thubutuuu
Yaan Jamaa awe na 40 hana mke ?? Wala mchumba???
Ukimpata 40 wa aina hiyo !! Basis ni Ama hana kazi ... Ana kazi lkn Mashine haifanyi kazi...infanya lkn sio wa Kuoa maana kama kuoa angekua tayari keshaoa.
Nadhan, utawalegezea vijana mashariti sasa.
Kila la kheri mwajiliwaNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
hapo kigezo cha dini tu ndo kinanitoa.Naitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha