Dah! Wanazingua kinoma,tatizo la wabongo wengi wanaoenda nje ni wale school au college drop out ,mbaya zaid unakuta hawana kipaji au ujuzi wowote ..what do u expect?( in dereva wa lorry's voice)
Kazana mkuu,uenda wakakupa kiwanja..unatetea uozo uozo ..teuzi za kimagumashi ,zimezaa watu wanafiki sana ndani ya taa,mtu yupo radhi kuumiza wenzake au nchi kwa ujumla ili mradi apate favour..unafiki wenu una mwisho..
Category ilishushwa ,fire tenders tia maji tia maji..sijui unataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.