Mwigulu ni janga kwa taifa letu, hatufai kwa tanzania yenye amani sisi watu wa mikoa ya kusini hatutaki kumuona! Awatumie watu wa singida na kuwaamulia nani na kumsikiliza na nani si wa kumsikiliza!
Nape amefilisika kisiasa ameshindwa kuvua magamba mafisadi anahangaika tu. Zamani nilikuwa namkubali sana lakini sahizi hamna kitu! Gaidi ni mwigulu nchemba aliyekodi vikundi vya kigaidi kwenye mkutano wa chadema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.