MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Mazishi ya marehemu Yohana mpinga aliyeuawa na vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa CHADEMA yanafanyika hivi punde katika kitongoji cha Kibaya kijiji cha Songambele kata ya Ndago wilaya ya Iramba.
Mkuu wa mkoa, naibu katibu mkuu CCM tanzania bara john Chiligati na mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba na wanaCCM wengi wamejitokeza.
Watu ni wengi sana.
Waombolezaji wanasema waambie jamaa wa upande wa pili waje kuzika. Hawapo hapa hata mmoja.
marehemu alikuwa katibu wa vijana wa ccm wa kata ya ndago
wabunge takribani 7 hadi 8 hivi wa CCM walikuwepo.
CDM haijatuma mwakilishi kama CCM wanavyofanya kwenye misiba ya CDM, kwa mfano wa Regia Mtema, Wangwe na Bob Makani.
Source: Mimi mwenyewe.
Mkuu wa mkoa, naibu katibu mkuu CCM tanzania bara john Chiligati na mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba na wanaCCM wengi wamejitokeza.
Watu ni wengi sana.
Waombolezaji wanasema waambie jamaa wa upande wa pili waje kuzika. Hawapo hapa hata mmoja.
marehemu alikuwa katibu wa vijana wa ccm wa kata ya ndago
wabunge takribani 7 hadi 8 hivi wa CCM walikuwepo.
CDM haijatuma mwakilishi kama CCM wanavyofanya kwenye misiba ya CDM, kwa mfano wa Regia Mtema, Wangwe na Bob Makani.
Source: Mimi mwenyewe.