Mkuu T. Makene please kama kuna uwezekano wa kuipata hiyo clip nakuomba kwa niaba ya JF tuwekee hapa!!
Hii itasaidia kuzuia uchakachuaji maana haya ma-vitimoto ya mabwepande yanaweza kuipata yakaichakachua!!
2015 atakuwa akijipoza na Ruth Msafiri
Taarifa za uhakika kinara wa mauaji ya Singida kamanda Mwita Mwikabe baada kutoa tamko la vituko amekamatwa na tayari anashikiliwa kwa MAUAJI ya kinyama ya raia huko Ndago. Sidhani kama haya matamko yatwasafisha kwa mauaji la msingi wamtafute Gwajima watubu.