MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Angalieni, tangu Mh Mwigulu apeewe wadhifa mkubwa ndani ya chama chake na kusimamia chaguzi ndogo, mambo yamekuwa kama yafuatavyo;
1. Igunga, alikuwa ndie mratibu wa kampeni hiyo kwa chama chake, tumeshuhudia mauaji ya kutisha ambayo hatujapata kuyaona katika chaguzi zote tangu nchi kupata Uhuru.
2. Arumeru, alikuwa tena mratibu wa kampeni hiyo, tumeshuhudia mauaji ya kutisha kushinda yale ya Igunga.
3. Jimboni Kwake, ikumbukwe CDM kabla kwenda jimboni kwa Mwigulu jana, walishafanya mikutano mikubwa ya kutikisa ardhi DSM, Mtwara, Lindi, na wala hakukuwa na tafrani yoyote, hata kule jimboni kwa Mh Membe aliwakaribisha Makamanda nyumbani kwake, wakala chakula pamoja, walipoondoka ndipo na yeye akapanda jukwaani kujibu mapigo, lakini jana kuanza tu jimboni kwa huyu Mwigulu, tayari ameuawa mtu.
Hivi Ni lazma uwe Great Thinker ndio uweze kuunganisha dots hizi kupata picha halisi ya connection ya huyu jamaa na mauaji haya?
1. Igunga, alikuwa ndie mratibu wa kampeni hiyo kwa chama chake, tumeshuhudia mauaji ya kutisha ambayo hatujapata kuyaona katika chaguzi zote tangu nchi kupata Uhuru.
2. Arumeru, alikuwa tena mratibu wa kampeni hiyo, tumeshuhudia mauaji ya kutisha kushinda yale ya Igunga.
3. Jimboni Kwake, ikumbukwe CDM kabla kwenda jimboni kwa Mwigulu jana, walishafanya mikutano mikubwa ya kutikisa ardhi DSM, Mtwara, Lindi, na wala hakukuwa na tafrani yoyote, hata kule jimboni kwa Mh Membe aliwakaribisha Makamanda nyumbani kwake, wakala chakula pamoja, walipoondoka ndipo na yeye akapanda jukwaani kujibu mapigo, lakini jana kuanza tu jimboni kwa huyu Mwigulu, tayari ameuawa mtu.
Hivi Ni lazma uwe Great Thinker ndio uweze kuunganisha dots hizi kupata picha halisi ya connection ya huyu jamaa na mauaji haya?