Kwanini Kila Anapohusika Mwigulu Watu Wanauawa?

MgungaMiba

JF-Expert Member
Aug 28, 2011
999
815
Angalieni, tangu Mh Mwigulu apeewe wadhifa mkubwa ndani ya chama chake na kusimamia chaguzi ndogo, mambo yamekuwa kama yafuatavyo;

1. Igunga, alikuwa ndie mratibu wa kampeni hiyo kwa chama chake, tumeshuhudia mauaji ya kutisha ambayo hatujapata kuyaona katika chaguzi zote tangu nchi kupata Uhuru.

2. Arumeru, alikuwa tena mratibu wa kampeni hiyo, tumeshuhudia mauaji ya kutisha kushinda yale ya Igunga.

3. Jimboni Kwake, ikumbukwe CDM kabla kwenda jimboni kwa Mwigulu jana, walishafanya mikutano mikubwa ya kutikisa ardhi DSM, Mtwara, Lindi, na wala hakukuwa na tafrani yoyote, hata kule jimboni kwa Mh Membe aliwakaribisha Makamanda nyumbani kwake, wakala chakula pamoja, walipoondoka ndipo na yeye akapanda jukwaani kujibu mapigo, lakini jana kuanza tu jimboni kwa huyu Mwigulu, tayari ameuawa mtu.

Hivi Ni lazma uwe Great Thinker ndio uweze kuunganisha dots hizi kupata picha halisi ya connection ya huyu jamaa na mauaji haya?
 
Na ndio maana wanamuweka yeye ili aue, maana wenzie wamekataa. hata utesaji wa dr ukute naye alikuwepo, ngoja tu dr apone, wengi wataumbuka
 
Damu ya mtu Singida haiwezi kufutika mikononi mwa CDM kwa kuandika umbeya, majungu na fitina. Ni vyema CDM ikajitenga na hao wauaji wachache kuliko kuendeleza fitna huku mitandaoni au kama mnaweza elezeni hayo maneno Iramba.
 
Siri zimeanza kuvuja kwa kasi baada ya jana mauaji kutokea..Vijana walipewa fedha, wakapewa viroba ili wawe na ujasiri ili yote tu waweze kuvuruga mkutano wa CDM...Nakumbuka huo mchezo wa kijinga kabisa ulifanyika ata MUSOMA 2010 wakati wa uchaguzi mkuu mbuge aliekuepo wa CCM ambae alikua anatetea jimbo lake dhidi ya Vicent Nyerer alitumia njia km hizi za kuwapa vijana viroba ili wakafanye fujo ktk mikutano ya CDM na ikumbukwe ata baadhi ya wafuasi wa CUF walikatwa mapanga na Prof LIPUMBA kwenda kuwatembelea hospitalini MUSOMA. Sa MWIGULU anakuja na njia za kijinga kabisa ktk karne hii kwani ata CDM hawajashindwa kuvuruga mikutano ya CCM lakini wanajua nini maana ya DEMOKRASIA...Sasa tunaitaka serikali ya iweze kumchukulia hatua kali ikiwemo kumvua ubunge kwani inaonekana hana uelewa na demokrasia na pia matusi,kejeri,lugha chafu sio mtaji wa CCM kwa sasa kwani anakiua chama
 
Burn Karudi,inaonekana wewe ni Mwigulu na ndugu zako Salome na Martha Mlatha,

Mlishaonyesha siasa za vurugu hata mimi ni shahidi.
Swala la Chadema hapa litazungumzwa lakini Mwigulu wewe ni killer.,

I will stand on that,kwa sababu ulijaribu na ukashindwa kwenye mkutano wangu.
 
Mikono yake imejaa laana ndio maana anapohusika yeye lazima damu imwagike.

Damu hizi za watu zitaendelea kumchanganya sana.
 
Burn Karudi,inaonekana wewe ni Mwigulu na ndugu zako Salome na Martha Mlatha,

Mlishaonyesha siasa za vurugu hata mimi ni shahidi.
Swala la Chadema hapa litazungumzwa lakini Mwigulu wewe ni killer.,

I will stand on that,kwa sababu ulijaribu na ukashindwa kwenye mkutano wangu.

Wewe kitakacho kuuwa wanaume za watu, na hukuanza kwa mume wa Rose Kamili taarifa zako kutoka Kigoma zipo nyingi zinasubiri muda tu.
 
Kwa maana hiyo usahihi ni kuwa Mwigulu anahusika kwa kuwatumia vijana viroba walewe na kuleta fujo. Kuhusika moja kwa moja ni kama na yeye angeingia front. But what's wrong with Mwigulu? Igunga mtu aliuwawa na mwingine kuporwa mke, Arumeru mtu aliuwawa na sasa jimboni kwake. ICC ya Ocampo ilikuwa na nguvu sana tofauti na huyu mama wa sasa.
 
Hawezi kuhusika mtu msomi na aliyewahifanya kazi BOT mwenye 1st class dgree..mnamsingizia
 
Sasa siri za CCM wauwaji zinaanza kuzagaa na mbinu zao chafu wananchi wamezichoka kifuatacho aliyekula mke wa mtu naye aliwe back!
 
Mwigulu N. hela za kuwatibia wananchi wasimalizwe na Tracoma umekula, wafadhili umewakimbiza, sasa unawatakia nini hawa wananchi wasio na hatia? Unafikiri mawe ni suluhisho karne ya 21. Hujui kama kuna nguvu ya umma, vitu kama M4C huvijui?
 
Serikali hii ya kifisadi haiwezi kumchukulia hatua labda angekuwa opposition! Tunashukuru kwa kujua kuwa mwigulu ndo muuaji.
 
Ndugu Mwigulu L Nchemba,
Nimelazimika kukuandikia hii thread kukuuliza swali kwamba UNAJISIKIAJE KWA HAYA YANAYOTOKEA na unahusishwa nayo?
1. Katika uchaguzi wa Igunga kuna mwananchi alimwagiwa tindikali na taarifa zilionyesha kwamba ni kati ya watu uliowakodi kwenda kufanya fujo na katika kugombani malipo uliyowapa kwa niaba ya chama, ndipo alimwagiwa tindikali na wenzake.
2. katika uchaguzi wa Igunga kuna mauaji ya mfuasi wa CHADEMA yalipotokea pia ulihusishwa kwamba uliratibu kazi hiyo.
3. Katika uchaguzi wa Igunga pia ilisemekana kwamba wewe ulikamatwa na mke wa mtu ukizini naye.

NB1: Katika yote hapo juu, haujawahi kutokea hadharani na kukanusha kwamba hauhusiki na hayo matukio ya kutisha hapo juu, hivyo sisi kama wananchi na vijana wenzako TUNASHAWISHIKA kuamini kwamba ni kweli ulihusika na matukio hayo hapo juu.

4. Uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru Mashariki pia ulihusishwa na uratibu wa mauaji ya mwenyekiti wa CHADEMA aliyechinjwa, kwasababu wewe ndiyo ulikuwa mratibu wa shughuli za uchaguzi kwa CCM. Hili nalo unasemaje?

5. Maafa yametokea tena Singida na kwa taarifa za awli zinaonyesha kwamba kuna timu uliunda na kuwalipa na mbaya zaidi umewaambia wanywe pombe ili conscious zao zisiwe sahihi ili wafanye fujo kwenye mkutano wa CHADEMA, na matokeo yake mmoja kati ya vijana wako amepoteza maisha. Nazidi kujiuliza kwamba wewe kama kijana mwenzetu, kama haya matukio ni ya kweli kwamba unahusika, je unajisikiaje nafsini mwako unapokuwa unajihusisha na URATIBU wa shughuli hizi ambazo zinagharimu maisha ya Watanzania wenzako?

Mwigulu,
Napata shida sana jinsi ninavyokufahamu toka ukiwa UDSM na ulipogombea urais wa DARUSO na kushindwa na hata ulivyokuwa unafanya kampeni zako, je ni kweli hii ndiyo tabia yako ilivyo na ulitaka kupeleka jumuiya ya UDSM kwenye maafa kama haya yanayotokea na wewe umeendelea kuwa part and parcel ya haya matukio ya kutisha yanayohusisha kupoteza maisha ya watanzania wenzetu.

Mwigulu, mara ya mwisho mimi na wewe kukaa meza moja ilikuwa ,mwaka 2009 kwenye kikao cha maandalizi ya harusi ya kijana mwenzetu pale baa ya Sinza lkn mpaka muda huo ukiwa bado mtumishi wa BOT, ulikuwa na uwezo wa kuongea mantiki na si kama unavyofanya sasa ambapo katika maneno 100 unayoongea, basi 90 yote ni UONGO NA UNAFIKI na 10 pekee katika 100 ndiyo ina ukweli ndani yake.

Mwigulu,
Naomba nirejee swali langu la msingi, kwamba unajisikiaje nafsini mwako kwa haya matukio ya kutisha yanayohusisha kupoteza maisha ya watu ili mradi tu uonekana shujaa mbele za watu?

Je, nafsini mwako una AMANI kabisa hata kama CCM na serikali inakulipa pesa ambazo unakula na kusaza? Je, familia yako nayo ina amani kwa haya mambo unayohusishwa nayo? Je, haya matukio unayoshiriki sasa hayajakufanya uanze kunywa pombe kali kali ili japo ujiliwaze na siyo kuyakumbuka akilini mwako kila wakati? Na kama sivyo, je unatuhaminisha kwamba wewe kwako siyo tatizo unapohusishwa kwenye matukio yanayopoteza maisha ya watanzania wenzako?

Swali langu la mwisho kwako; Je, kama ni kweli unashiriki (KWANI NAFSI YAKO INAJUA UKWELI) katika kuratibu matukio haya kwasababu ya siasa au pesa, je utaendelea nayo mpaka lini?

NB2: Mwigulu, naomba ujitokoze ukiwa na ID yako kamili au ile nyingine ambayo ulikuwa unatumia kujibizana na dada yetu J. kwenye thread za leo na unipe ni kwa namna gani unavyojisikia nafsini mwako.

Kwa wale vijana wanaolipwa na Nape kulingana na idadi ya pumba wanazotuma humu JF, tafadhali msiurukie hii thread kwa kebehi kama ilivyo TOR mlizopewa na NAPE, na badala yake Mwigulu anijibu yeye kwasababu tunafahamiana naye siku nyingi hata kabla hajaingia kwenye ubunge.
 
Huu muda mngeutumia kuongea na mawakili wenu mtafute jinsi ya kumsaidia mtuhumiwa wa mauaji ndugu Mwita Mwikabe. Damu ya mtu haifutiki kirahisi, nadhani wooote waliokaa Mikocheni kupanga mauaji haya wananielewa namaanisha nini.
 
Shame on u mwigulu,wewe ni rimbuken wa siasa,msomi gan anatumia mbinu za kishetan,wananch wamewachoka jipangen kuachia madaraka,2015 lazma kieleweke..piplez poooweeeerr!
 
Huu muda mngeutumia kuongea na mawakili wenu mtafute jinsi ya kumsaidia mtuhumiwa wa mauaji ndugu Mwita Mwikabe. Damu ya mtu haifutiki kirahisi, nadhani wooote waliokaa Mikocheni kupanga mauaji haya wananielewa namaanisha nini.

Nashukuru umejitokeza kwani hii nayo ni ID yako. Lkn naomba unijibu jinsi unavyojisikia kwa haya mauaji unayohusishwa nayo?
 
Back
Top Bottom