Nimesikia yule mke kashaachana nae, ameleta posa kwenu ili akuoe wewe.
hili halina ubishi chadema wameua mwanairamba, wamekwenda iramba kwa ajili ya hasira baada ya mbunge wa iramba kuwaumbua kuhusu bajeti aliyoichana na kuitupa kuwa ilikuwa takataka na kuwaumbua ukabila kuwa wanakaa bungen kama sebulen kama wako kwenye kikao cha uko; pia na gari alilochukua kiongoz wa kambi ya upinzan kinyemela
Mnyika anakurupuka ameshindwa kujieleza bungeni anaenda kutafuta huruma ya wananchi,shame on her aaagh sorry on him