Hapana Muungano ule ulikuwa ni kuziunganisha nchi mbili kwa kushirikiana baadhi ya mambo ila sijaelewa kwann Wazanzibari wanapewa uongozi huku kwetu Tanganyika lakini hakuna Mtanganyika anayepewa uongozi wa juu kule Zanzibar
Daah huyo Mwl Mpande wa Moshi tech alikuwa ni mbabe wa kupitiliza alikuwa anaonea sana wanafunzi saa 11 asubuhi alikuwa anakuja bwenini kuwaamsha wanafunzi kwa bakora
Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa vinaanza napata usingizi wa ghafla alafu nakabwa na dude lisilojulikana nashindwa kufanya lolote nabaki nasali kimya kimya.
Baada ya...
Wakuu twende kwenye mada, hivi ukijiangalia kwenye kioo kikubwa usiku kwa muda mrefu ukiwa chumbani mwako ukiwa umezima taa je kuna madhara yoyote unaweza kuyapata kiroho?
Wanazengo tupeni maoni yenu.
Mshana Jr upo sahihi kwa mtazamo wako na wengine kwa jicho la tatu. Ila dogo pamoja na kuwa yeye ni tajiri kibongobongo ana dharau sana kwa wanamuziki wenzake na alishawahi kutoa kauli kuwa wote wajipange wafanye show pamoja alafu yeye atawakalisha, hiyo ni dharau kubwa kwa upande wa medani za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.