Recent content by Mbotech

  1. Mbotech

    Naona jinsi ambavyo nguvu kubwa inatumika ili kumshusha tena Diamond

    Watu waache mambo yao waangaike na huyo mbongofleva wako
  2. Mbotech

    Certificate ICT nimpeleke wapi?

    Mpeleke udom.... kwa IT Wapo vizuri sana tena sana
  3. Mbotech

    Angalizo: Aina hii ya wanachuo huwa hawamalizi vyuo

    Habari! Nina imani kuwa wote humu ndani ni wazima wa afya. Leo ningependa kujumuika na nyinyi ndugu zangu kujadili aina za wanachuo ambao kwa asilimia kubwa hawamalizagi chuo. Ni tumaini langu uzi huu utasaidia ndugu jamaa na marafiki wanaojiandaa kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali nchini...
  4. Mbotech

    MSAADA KUHUSU BACHELOR OF SCIENCE IN PHYSICS

    je hawajawahi fundisha mashuleni?
  5. Mbotech

    MSAADA KUHUSU BACHELOR OF SCIENCE IN PHYSICS

    Hiyo kitu kwa Tanzania ni ualimu tu
  6. Mbotech

    Naomba msaada wa kupatiwa kamera ya kufanyia biashara

    Mkuu unachukulia life simple sana
  7. Mbotech

    List ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na watu washamba hapa Tanzania

    Povu jingi alafu mwisho umetoa boko
  8. Mbotech

    Msaada: Mdogo wangu ana stress za maisha

    Hii nzuri kiongozi
  9. Mbotech

    Nimepata kazi lakini mshahara ni mdogo mno

    Alafu mkuu nimekufwatilia sana unaongeaga kama mzaha lakini kwa 90% unapita mulemule
  10. Mbotech

    Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

    Hapa yenyewe saivi niko single kuna demu nimebreak up naye nimetulia mwezi kama wa nne huu naskilizia ntadondokea wapi
  11. Mbotech

    Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

    Mi naumiaga sana alafu nachelewa kurecover lakini nikashapenda sehemu nyengine yani wewe nisahau kabisa hatakukumbuka inakuwa ni issue
  12. Mbotech

    Maana Halisi ya neno 'Mkuu' ni ipi?

    Mkuu akikujibu nitag
Back
Top Bottom